Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
- Thread starter
- #21
no usijari mkuu, yawezekana tumepishana kwenye tafsili lugha, wala hakijaharibika kitu,Ninavyoona hapo mimi ninashangaa (kwa sababu ni ya zamani na tuliijadili sana, tena sana tu), pia naambia kwa msisitizo (ndio maana nikaongeza vihanjumati kwenye neno zamani), na mwisho silaumu kwani sioni cha kulaumu.
Sasa ndugu Anyisile Obheli, utovu wangu wa hekima uko wapi hapi? Hebu nioneshe basi ili niweze kujirudi safari ijayo. Asante sana.
tuko pa1, lets go on!!