Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Yaani ma-soldier ndo wanaongoza kwa usingizi. Ajabu na kweli!
kwa vyovyote watakuwa masoja kwa sababu ya sare tu!!
Na nyinyi bana....hii picha ya zaaaaaaamaaaaani....tulishaijadili hapa tokea enzi za jamboforums.com....
Weka link!
asante mkuu, nadhani umesahau ya kuwa ulipokuwa umeshiba wewe wengine walikuwa na njaa, ulipokuwa macho wengine walikuwa wamelele,Na nyinyi bana....hii picha ya zaaaaaaamaaaaani....tulishaijadili hapa tokea enzi za jamboforums.com....
asante mkuu, nadhani umesahau ya kuwa ulipokuwa umeshiba wewe wengine walikuwa na njaa, ulipokuwa macho wengine walikuwa wamelele,
pia kumbuka humu JF hatufanani kiumri, mengine kama kwako si mapya we skip tu
utaonekana mwenye maarifa zaidi
umenena vyema but si kila mtu have an enough time to do so,jmani hii picha ishaletwa hapa jamvini muda kitambo, pitieni threads wakubwa ndo maana huwa nasema usiache siku ipite bila kukanyaga hapa jamvini usijeleta habari kama BREAKING news kumbe ishachoka. Anyways asante kwa kutukumbusha!
ni vema kukumbushana, lakini staili yako ya kuambia haina, hekimaKwa hiyo ukirudia rudia mambo ya zamani bila kujua kwamba yameshapita hapa tusikuambie, sio? Uachwe tu?
Asante mkubwa nimekuelewa!umenena vyema but si kila mtu have an enough time to do so,
ni vema kukumbushana, lakini staili yako ya kuambia haina, hekima
any way si ugonvi kikubwa umefahamu kuwa tuko tofauti kiumri humu ndani kwani
kibaya nini kama jambo linarudiwa? ulipokwepo wewe mwingine hakwepo, na ndiyo maana kwako ni ya zamani lakini kwa wengine ni mpya
Hivi hawa watunatufaa kuwa katikaView attachment 10330 ngazi ya kuliongoza taifa
kwani hii post si ya kwako?Umetumia ki/vipimo gani kutathmini hekima ya staili yangu ya kukuambia? Kwa maneno mengine, umefikiaje hitimisho lako la kwamba staili yangu ya kukuambia haina hekima?
ok mkuu kuelimishana ni jambo zuri, tuko pa1Asante mkubwa nimekuelewa!
kwani hii post si ya kwako?
Na nyinyi bana....hii picha ya zaaaaaaamaaaaani....tulishaijadili hapa tokea enzi za jamboforums.com....
unavyoona hapo wewe unaambia, unashangaa, au unalaumu? nadhani unakitumia vizuri kiswahili na sentensi zake
sawa mkuu, huu si ugonvi wala vita nimekuelewa sana, but mi naona wewe, uko sahihi kulinganaNinavyoona hapo mimi ninashangaa (kwa sababu ni ya zamani na tuliijadili sana, tena sana tu), pia naambia kwa msisitizo (ndio maana nikaongeza vihanjumati kwenye neno zamani), na mwisho silaumu kwani sioni cha kulaumu.
Sasa ndugu Anyisile Obheli, utovu wangu wa hekima uko wapi hapi? Hebu nioneshe basi ili niweze kujirudi safari ijayo. Asante sana.