una miaka mingap?
mambo vp jf, bila kupoteza wakati niingie kwenye mada. Kuna mama moja anadai ananipenda sana na mm kimtazamo ni kweli ananipenda kwani kuna mambo mengi amenisaidia katika maisha,huyu mama kila kukicha ananilazimisha nile naye tunda namimi siko tayari kwa sababu nahofia maisha yangu, mama ana hela ndefu sasa cjui nifanyeje jamani! Ushauri tafadhali.
We kweli mwehu, kwani vipimo vimeisha? au amekataa?mkuu besa nazitamani,bila mkwanja no life men! Hofu yangu ni kwamba si ajabu ana ngoma aniulie mbali mtoto wa mwenzie!!!
maisha yenyewe magumu hivi mtu ninaelimu yangu lkn hainisaidii kazi zenyewe mpaka uwe mtoto wa mjomba ndio upewe,bora nichukue kilichojileta chenyewe! khaaa.
Mweee kazana kuchapa
kazi we kijana,there is no shortcut way of
life! Behind pesa za mama there might be something fishy
and remember h.i.v kills u get it u die.
Na pia si kila msaada
unamaanisha kukukuruka
mingine is gods send
so kama vp tumia huo msaada vyema acha
kuhamia ngononi lool