BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
mjomba ww unajua ana pesa ndefu, na ndio unayoitaka, ya nini kutafta ushauri na jibu unalo?
mjomba ww unajua ana pesa ndefu, na ndio unayoitaka, ya nini kutafta ushauri na jibu unalo?
kwani kuwa na mmama kuna tatizo gani?sioni tatizo inamaana ungetakwa na bint ungemkubali sbb hatakuua?au usingekuja kuuliza jf sio?kama umempenda na una wasiwas nae kapimen wote!kuna wenzio wanataka nafas km hyo et wataka kulipiga teke fuko la hela unachekesha.ndo njian ya kutoka kwako kupitia yeye we shangaa tu!
mkuu besa nazitamani,bila mkwanja no life men! Hofu yangu ni kwamba si ajabu ana ngoma aniulie mbali mtoto wa mwenzie!!!
jf is never boringsasa title ya 'haya mapenzi sijawahi kuona'
inahusika vipi na story???????
jf is never boring
chanzo: The Boss
wewe umeshaona sifa yake kuu ni kuwa na hela ndefu , kwa hiyo wewe ndicho ulichoona kwake kinakufaa??
Inawezekana anakupenda kweli bana maana "mapenzi ni sawa na m.a.t.a.k.o ya mwehu hayachagui pa kukaa",si unajua kichaa anakaa popote hata juu ya makaa ya moto mkuu!
usikute umeshamkula kitambo
mweh!))))))))))))sio kirahisi kama unavyofikiria,Hangu Hagumu!!!
mambo vp jf, bila kupoteza wakati niingie kwenye mada. Kuna mama moja anadai ananipenda sana na mm kimtazamo ni kweli ananipenda kwani kuna mambo mengi amenisaidia katika maisha,huyu mama kila kukicha ananilazimisha nile naye tunda namimi siko tayari kwa sababu nahofia maisha yangu, mama ana hela ndefu sasa cjui nifanyeje jamani! Ushauri tafadhali.
sasa title ya 'haya mapenzi sijawahi kuona'
inahusika vipi na story???????