Jamani hawa kinamama wa Hizi NGO TMWA, HAKI ZA BINADAM NA TGNP na migomo ktk nchi hii vipi?

Careboy wamuntere

Senior Member
Jul 9, 2012
163
35
[h=6]Jamani sasa hivi nimepata jibu, wale wote wanaoshabikia migomo wakiwemo wamama maarufu wa TAMWA, TGNP na Haki za binadam wote ni wachagadema, so hii mogomo siyo ya kudai maslahi ya nchi, na bali ni ya kuchochea nchi isitawalike ili wazidi kujinufaisha kisiasa, na hizi taasisi ni vema serikali ikawa makini nazo, zipo kisiasa zaidi na kikabila na sio kimaslahi ya nchi, kama mheshimiwa Rais ana mamlaka nazo basi ni vema hawa wamama wanaojifanya kushabikia machafuko kwa mgongo wa kudai haki za binadam wakati kila kukicha tunasikia wamama wajawazito na vikongwa na watoto wanadhalilishwa lkn wapo kimya, ikitokea swala la migomo sijui kina ulimboka na walimu ndo midomo juu kama chupi. tuwaangalie vizuri hawa watu kwa usalama wa taifa letu. vinginevyo niliyoyasema mtakuja kuyakumbuka while its too late.[/h]
 
Mi nawashangaa hawa akina mama,huwa wanaonekana kwenye migomo lakini katka mambo ya msingi na ya wako kimya. Hivi hawajawaona wale wazee wenye madai east africa wanaolala nje pale stesheni? Kwa nini hawaendi kuwasaidia walipwe stahili zao? All in all akina hawa wanatokea north,siwezi kushangaa kwani ni watu wa maslahi binafsi na wabinafsi walopitiliza,mchaga na pesa!
 
Kazi ya serikali ni kutekeleza sera mbambali ambazo imeziweka na kazi za wadau wengine kama hao uliowazungumzia ni kushauri na kukosoa serikali pale inapokwenda kinyume hivyo basi usitegemee hata siku moja watu wawe sawa na serikali ila pale ambapo pana tatizo watazungumza na mara nyingi wapo SPECIFIC na si kwamba kila inachokifanya serikali wanakipinga. Alieanzisha mada anataka kutuaminisha kwamba kila anaepingana na serikali ni CDM na anaekubaliana ni CCM wakati si kweli kuna uwezekano raia wakawa ni CDM but wakapinga mgomo wa madaktari pia mtu anaweza kuwa CCM na akaunga mgomo wa madaktari kulingana na mazingira aliyopo na aina ya huduma anayopata katika hospitali au zahanati iliyopo karibu yake.
 
Mi nawashangaa hawa akina mama,huwa wanaonekana kwenye migomo lakini katka mambo ya msingi na ya wako kimya. Hivi hawajawaona wale wazee wenye madai east africa wanaolala nje pale stesheni? Kwa nini hawaendi kuwasaidia walipwe stahili zao? All in all akina hawa wanatokea north,siwezi kushangaa kwani ni watu wa maslahi binafsi na wabinafsi walopitiliza,mchaga na pesa!

Hata mimi nashangazwa sana hawa akina mama wa TAMWA, TGNP, sikuwasikia kabisa wakipinga mahakama ya KADHI na SHARIA ambayo zinaende kinyume na haki za binadamu.
Eti mwizi akatwe mkono,
Mwanamke akizini apigwe mawe hadi kufa wakati mwanaume anaachwa huru
Eti kisichana cha miaka 14 rukhusa kuolewa, sijui kitasoma lini?
Eti mwanamke ana haki nusu ya mwanaume katika mahakama ya kadhi.
Eti ushahidi wa mwanamke haukubaliki katika mahakama ya kadhi,

Kusema kweli hawa akina mama hata mimi naona wanasahau wajibu wao MUHIMU wa kutetea haki za wanawake!
 
Wewe unaumwa!!! Kuna kitu kinaitwa ku force habari. Watu wamekufa watatu kwenye ajali morogoro, wewe unaona kichwa cha habari kingeuza gazeti zaidi kama wangekufa 30.Kwa hiyo unaongeza sifuri kwenye tatu. Wamekufa 30, unasema. Wachagadema ndo nini? Ny...n wewe... Huna akl!



Jamani sasa hivi nimepata jibu, wale wote wanaoshabikia migomo wakiwemo wamama maarufu wa TAMWA, TGNP na Haki za binadam wote ni wachagadema, so hii mogomo siyo ya kudai maslahi ya nchi, na bali ni ya kuchochea nchi isitawalike ili wazidi kujinufaisha kisiasa, na hizi taasisi ni vema serikali ikawa makini nazo, zipo kisiasa zaidi na kikabila na sio kimaslahi ya nchi, kama mheshimiwa Rais ana mamlaka nazo basi ni vema hawa wamama wanaojifanya kushabikia machafuko kwa mgongo wa kudai haki za binadam wakati kila kukicha tunasikia wamama wajawazito na vikongwa na watoto wanadhalilishwa lkn wapo kimya, ikitokea swala la migomo sijui kina ulimboka na walimu ndo midomo juu kama chupi. tuwaangalie vizuri hawa watu kwa usalama wa taifa letu. vinginevyo niliyoyasema mtakuja kuyakumbuka while its too late.

.
 
Hata mimi nashangazwa sana hawa akina mama wa TAMWA, TGNP, sikuwasikia kabisa wakipinga mahakama ya KADHI na SHARIA ambayo zinaende kinyume na haki za binadamu.
Eti mwizi akatwe mkono,
Mwanamke akizini apigwe mawe hadi kufa wakati mwanaume anaachwa huru
Eti kisichana cha miaka 14 rukhusa kuolewa, sijui kitasoma lini?
Eti mwanamke ana haki nusu ya mwanaume katika mahakama ya kadhi.
Eti ushahidi wa mwanamke haukubaliki katika mahakama ya kadhi,

Kusema kweli hawa akina mama hata mimi naona wanasahau wajibu wao MUHIMU wa kutetea haki za wanawake!

Tatizo la wengi wenu mnashabikia hoja kwa mtazamo wa dini zenu na hapo ndio mnapokosa objectivity!! Wakina mama wanaharakati wao wanajishuhulisha na kutetea haki za binadamu zikiwemo za wakina mama na ndio maana wanawatetea wakina mama wanaopigwa na wanaume zao, wasichana wanaoachishwa shule kwa sababu za mimba na watu wengine kama wakina Kubenea na Ulimboka ambao dola inawatesa na kuwakandamiza kwa vile wanawatetea wanyonge katika jamii yetu!! Sasa unaposema mama Ananilea Nkya na wanaharakati wenzie wanashabikia migomo sio kweli ni lazima uione hiyo migomo katika context ya kupigania haki za wahusika!!
 
jamani sasa hivi nimepata jibu, wale wote wanaoshabikia migomo wakiwemo wamama maarufu wa tamwa, tgnp na haki za binadam wote ni wachagadema, so hii mogomo siyo ya kudai maslahi ya nchi, na bali ni ya kuchochea nchi isitawalike ili wazidi kujinufaisha kisiasa, na hizi taasisi ni vema serikali ikawa makini nazo, zipo kisiasa zaidi na kikabila na sio kimaslahi ya nchi, kama mheshimiwa rais ana mamlaka nazo basi ni vema hawa wamama wanaojifanya kushabikia machafuko kwa mgongo wa kudai haki za binadam wakati kila kukicha tunasikia wamama wajawazito na vikongwa na watoto wanadhalilishwa lkn wapo kimya, ikitokea swala la migomo sijui kina ulimboka na walimu ndo midomo juu kama chupi. Tuwaangalie vizuri hawa watu kwa usalama wa taifa letu. Vinginevyo niliyoyasema mtakuja kuyakumbuka while its too late.

usu malya-tgnp, ananileya nkya-tamwa, kijo bisimba-human rights wote watoka kanda moja hao. Pengine ni muamko wa kutetea haki na maslahi umeshamiri huko.
 
Hata mimi nashangazwa sana hawa akina mama wa TAMWA, TGNP, sikuwasikia kabisa wakipinga mahakama ya KADHI na SHARIA ambayo zinaende kinyume na haki za binadamu.
Eti mwizi akatwe mkono,
Mwanamke akizini apigwe mawe hadi kufa wakati mwanaume anaachwa huru
Eti kisichana cha miaka 14 rukhusa kuolewa, sijui kitasoma lini?
Eti mwanamke ana haki nusu ya mwanaume katika mahakama ya kadhi.
Eti ushahidi wa mwanamke haukubaliki katika mahakama ya kadhi,

Kusema kweli hawa akina mama hata mimi naona wanasahau wajibu wao MUHIMU wa kutetea haki za wanawake!
Mi nadhani kama kitu huelewi chimbuko maana halisi ya kitu basi ni vema kukaa kimya, mahakama ya kadhi wala haihusiani kabisa na mambo uliyoyataja na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ungejua yanayohusiana na hii mahakama, kwani hata PM alizungumzia bungeni.
 
Tatizo la wengi wenu mnashabikia hoja kwa mtazamo wa dini zenu na hapo ndio mnapokosa objectivity!! Wakina mama wanaharakati wao wanajishuhulisha na kutetea haki za binadamu zikiwemo za wakina mama na ndio maana wanawatetea wakina mama wanaopigwa na wanaume zao, wasichana wanaoachishwa shule kwa sababu za mimba na watu wengine kama wakina Kubenea na Ulimboka ambao dola inawatesa na kuwakandamiza kwa vile wanawatetea wanyonge katika jamii yetu!! Sasa unaposema mama Ananilea Nkya na wanaharakati wenzie wanashabikia migomo sio kweli ni lazima uione hiyo migomo katika context ya kupigania haki za wahusika!!
kuna haki gani ya kupigania ulimboka wakati mgomo ulisababisha wananchi mamia kufariki na wao wanasema madaktari waendelee na mgomo lkn wananchi walio wengi hawawaoni, halafu unaleta udini, kama ni udini basi wewe ni mdini uliyepitiliza kwani hakuna mtu aliyetaja udini ila kwa sababu roho yako imekujaa udini basi unaona kila anayesema ukweli basi anamaanisha udini \pile sana.
 
kuna haki gani ya kupigania ulimboka wakati mgomo ulisababisha wananchi mamia kufariki na wao wanasema madaktari waendelee na mgomo lkn wananchi walio wengi hawawaoni, halafu unaleta udini, kama ni udini basi wewe ni mdini uliyepitiliza kwani hakuna mtu aliyetaja udini ila kwa sababu roho yako imekujaa udini basi unaona kila anayesema ukweli basi anamaanisha udini \pile sana.

wachaga waombe jamhuri yao
 
Hata majina ya wanafunzi waliofaulu sikiliza majina yao utaelewa maanake sio wajinga ni watu walioeenda shule na kuelimika.
sio wale wanao tuuzia nguzo ya umeme ya iringa ya sh 30,000 wanatuuziakwa miilion moja eti zimetoka south utasema kuna shule hapo.
nchi zote wanaiba kwengine wanapeleka kwao mfano wazungu ,wachina na wakenya pamoja na waganda wanatuibia dhahabu na vito vingine sisi akili ni kujiibia mwenyewe angalia kwenye halimashauri mashule yanavyojengwa chini ya kiwango hata barabara wanazojenga wachina
 
usu malya-tgnp, ananileya nkya-tamwa, kijo bisimba-human rights wote watoka kanda moja hao. Pengine ni muamko wa kutetea haki na maslahi umeshamiri huko.

Kijo Bisimba ni mChagga? Au katokea kanda ya kaskazini!?

Tumeshachoka waChagga kuandamwa...na wala we sio wa kwanza f!s!-maji wee! Mtaendelea hivyo hivyo na wivu wenu...but its living fact...WE (Chaggas) ROCK!!! and we will for a very looong time...'Hate it or love it'!
 
kuna haki gani ya kupigania ulimboka wakati mgomo ulisababisha wananchi mamia kufariki na wao wanasema madaktari waendelee na mgomo lkn wananchi walio wengi hawawaoni, halafu unaleta udini, kama ni udini basi wewe ni mdini uliyepitiliza kwani hakuna mtu aliyetaja udini ila kwa sababu roho yako imekujaa udini basi unaona kila anayesema ukweli basi anamaanisha udini \pile sana.

Careboy, mamia wanafariki kwasababu kubwa kuwa madaktari hata wasipogoma wakiwa kazini hawana vitendea kazi na madawa hayapo hospitarini ; baba zenu mafisadi wameiba fedha na kuzificha huko ulaya na wakiugua wanakwenda huko kutibiwa!! Sasa wanaharakati wanawataka baba zenu warudishe hizo fedha walizoficha huko Switzeland ili zinunue dawa; tuwalipe walimu mishahara mizuri na madaktari pia ili walala hoi wasioweza kwenda India wapate tiba nzuri hapahapa; lakini baba zenu wametia pamba masikioni wanajifanya viziwi hawasikii na hilo ndilo wanaharakati wanalopigania kuwa zilizofichwa ulaya zirudishwe ili wananchi wapate haki yao!!
 
Mkuu kwani ulikuwa hujui hao kinamama wanaojiita wanaharakati wote ni wafuasi wa Chadema angalia kwenye sakata la Dr Slaa na Rose Kamili.

Rose Kamili, kafungua kesi kudai fidia kwa kutelekezwa na Dr Slaa, hao kinamama wote walikuwa upande wa Slaa.
 
Jamani sasa hivi nimepata jibu, wale wote wanaoshabikia migomo wakiwemo wamama maarufu wa TAMWA, TGNP na Haki za binadam wote ni wachagadema, so hii mogomo siyo ya kudai maslahi ya nchi, na bali ni ya kuchochea nchi isitawalike ili wazidi kujinufaisha kisiasa, na hizi taasisi ni vema serikali ikawa makini nazo, zipo kisiasa zaidi na kikabila na sio kimaslahi ya nchi, kama mheshimiwa Rais ana mamlaka nazo basi ni vema hawa wamama wanaojifanya kushabikia machafuko kwa mgongo wa kudai haki za binadam wakati kila kukicha tunasikia wamama wajawazito na vikongwa na watoto wanadhalilishwa lkn wapo kimya, ikitokea swala la migomo sijui kina ulimboka na walimu ndo midomo juu kama chupi. tuwaangalie vizuri hawa watu kwa usalama wa taifa letu. vinginevyo niliyoyasema mtakuja kuyakumbuka while its too late.
Mjinga huwaza ujinga na huongea kila linalomjia mawazoni mwake.
Inawezekana nawewe una una wazazi au familia wanaokutegea.phuu!aibu!
 
Back
Top Bottom