mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Salaam,jamani kunatatizo linanisumbua naomba msaada wenu,nina hard drive yangu external,nilikuwa natumia kwenye mashine ambayo ilikuwa na kaspersky anti virus,cha kushangaza ni kwamba nilipo angalia data zangu,sikuona hata moja,lakini nikitazama kwenye properties naona used space ile ile mbayo ilikuwa na data zangu,sasa kama kunamtu anaweza nisaidia juu ya hili nitashukuru sana!!alafu nikiiscan inascan data files zote naziona while scanning,lakini nikiifungua hiyo device sioni kitu,hii ninini jamani?