kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
nilipata bahati kukaa karibu na viongoz wa cdm juzi arusha waliokuwa wakimshangilia mbowe ndipo jose aliekuwa amevalia koti la jinsi mita tate toka aliposimama mbowe akasema 'lazima tuhakikishe mbowe anakuwa mgombea wetu cdm uraisi 2015 mkakati ushaanza' nawasilisha wadau