Jamani Eeeh, COSTECH naomba paheshimiwe

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,342
Hivi sisi watanzania tutaendelea lini jamani,nawapongeza Tume ya sayansi na mawasiliano kuweka mazingira mazuri ya watu wa IT kufanya kazi zao,pia kuna access free ya internet wireless,sasa kuna hawa wabongo wanakuja na kuichezea mara wazime access point mara wa connect direct katika computer zao,yaani wamejisahau imewekwa pale itumike na watu wote wanaotumia ile innovation space naomba tuheshimu taratibu na mamlaka jamani tujiheshimu japo kidogo ......haya wanaconnect hivo uliza wanafanya nini....ni kudownload movies na wakimaliza on top of that wanaplay hapo hapo hizo movie wanaanza kuangalia pashageuzwa cinema show sasa.....hivi jamani tunakasoro gani sisi weusi?

Ujinga sisi,vita sisi, umaskini sisi.....hebu jamani endeleeni kidogo basi.....sawa sikatai wewe kuangalia movie vaa headphones basi sikiliza mwenyewe watu wanafanya kazi hapo........! Nawasilisha hebu tubadilike:director:
 
na wewe ungefanya mabadiliko on the spot,sio wote wako JF,,play ur part
 
Hivi sisi watanzania tutaendelea lini jamani,nawapongeza Tume ya sayansi na mawasiliano kuweka mazingira mazuri ya watu wa IT kufanya kazi zao,pia kuna access free ya internet wireless,sasa kuna hawa wabongo wanakuja na kuichezea mara wazime access point mara wa connect direct katika computer zao,yaani wamejisahau imewekwa pale itumike na watu wote wanaotumia ile innovation space naomba tuheshimu taratibu na mamlaka jamani tujiheshimu japo kidogo ......haya wanaconnect hivo uliza wanafanya nini....ni kudownload movies na wakimaliza on top of that wanaplay hapo hapo hizo movie wanaanza kuangalia pashageuzwa cinema show sasa.....hivi jamani tunakasoro gani sisi weusi?????????? Ujinga sisi,vita sisi, umaskini sisi.....hebu jamani endeleeni kidogo basi.....sawa sikatai wewe kuangalia movie vaa headphones basi sikiliza mwenyewe watu wanafanya kazi hapo........! Nawasilisha hebu tubadilike:director:

kuingia humo inakuwaje nataka kiuja tembeleaaa
 
Me nadhan hiyo inaimarisha sys zaidi,kwani wakifanikiwa kuzuia sys inakua imara zaidi na wamiliki wanakua na utaalam zaidi. Hata nje ndo inakua hivyo mbona. Eg.Wamiliki wa FB wanawapa zawadi maprogrammer wao wanaoweza ku bypass their security sys ili wapate sys imara zaidi. Sioni tatizo sana.
 
Me nadhan hiyo inaimarisha sys zaidi,kwani wakifanikiwa kuzuia sys inakua imara zaidi na wamiliki wanakua na utaalam zaidi. Hata nje ndo inakua hivyo mbona. Eg.Wamiliki wa FB wanawapa zawadi maprogrammer wao wanaoweza ku bypass their security sys ili wapate sys imara zaidi. Sioni tatizo sana.

Mtoa hoja anamaanisha watu wanaochomoa connection ya access point na kuweka pc zao directly ili kupata speed kubwa ya internet ,wakati wenzao wakibaki hawana access ya internet, na wala sio ma hackers , ni wabinafsi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom