Jamani ebu tuwe wakweli kuna jambo gani linaloburudisha mwili na roho zaidi ya hili??

Dumelambegu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,052
257
Wapenzi wa jukwaa hili,
Ebu tuambizane ukweli, hivi kuna jambo lolote linaloweza kuburudisha mwili na roho ya mtu 'mzima' zaidi ya ngono? Tusifikirie mambo ya kubakana au ngono ya biashara. Tufikirie ngono ya wapendanao. Wataalam wanatuambia kwamba ngono ikifanywa na watu muafaka, mahali muafaka na muda muafaka, inajenga afya ya mwili na akili.
 
Wapenzi wa jukwaa hili,
Ebu tuambizane ukweli, hivi kuna jambo lolote linaloweza kuburudisha mwili na roho ya mtu 'mzima' zaidi ya ngono? Tusifikirie mambo ya kubakana au ngono ya biashara. Tufikirie ngono ya wapendanao. Wataalam wanatuambia kwamba ngono ikifanywa na watu muafaka, mahali muafaka na muda muafaka, inajenga afya ya mwili na akili.

Hebu badilisha hapo kwenye red uweke neno muafaka bluu ndo mahala pake.

Will be back
 
Wapenzi wa jukwaa hili,
Ebu tuambizane ukweli, hivi kuna jambo lolote linaloweza kuburudisha mwili na roho ya mtu 'mzima' zaidi ya ngono? Tusifikirie mambo ya kubakana au ngono ya biashara. Tufikirie ngono ya wapendanao. Wataalam wanatuambia kwamba ngono ikifanywa na watu muafaka, mahali muafaka na muda muafaka, inajenga afya ya mwili na akili.

usiambiwe chochote KITIMOTO!!!!
 
mi nadhani ni pesa tuuuuuuuuuu,
ukiwa na mawazo hujala huna pa kulala si dhani kama NANUKUU "ngono" itakuwa nifuraha kwako
ni mtazamo tu jamani.......kwangu mi PESA tu
 
Michezo, mtu aliyezoea kucheza mchezo fulani kila siku siku asipocheza atajisikia amekosa kitu fulani muhimu. Lakini ngono poa tu hata kwa mwezi mara moja.
 
ngono siyo kiburudisho cha kila mtu...... kila mtu ana starehe yake wengine kuabudu, wengine michezo, wengine busness+pesa, wengine bia, wengine kitimoto/mbuz choma/kuku na wengine story au umbeya

na wachache kama wewe ngono zembe
 
wasikudanganye hao hata waabudu mapaka jua litoe damu ila mwisho wa siku kutifuana ndio mpango mzima.:mullet:
 
Back
Top Bottom