MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Ninamuda mfupi sana katika eneo nililohamia...hapa ni pahala pa wastaarabu sana, alinikaribisha kwa upendo sana nami nilimpokea na kumuelewa kama dada yangu wa dhati... ila mara nimechoka wangu,leo sijakuona, umechelewa leo....utapenda nikikufulia...jamani leo umependeza...utarudi sangapi...jamani ninunulie soda wangu....jamani unakaangisha vizuri...jamani nasikia mziki mzuri chumbani kwako...jamani wewe ni handsome..naomba nikufulie...nataka tupike pamoja siunajua kula mwneyewe hakishuki...Haya ni baadhi tu ya mabo ya vihoja yanayonikera...nisaidie... nimfanyaje huyu mtuuu na ujirani huu....
Aksanteni
Aksanteni