Jamani Chenge kiboko!

Mwanakili90

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,568
245
Habari nilizozipata kutoka kwa kada wa CCM ambaye yupo karibu na Andrew Chenge ambaye ni pacha mmoja kati ya mapacha watatu wa ufisadi, ana ka-bili ka vijisenti vichache katika hoteli ya kitalii ya DODOMA HOTELI.

Imethibitika bili hiyo ni ya chumba kimoja ambacho kimelipiwa kwa miaka mitano na huwa hakipangishwi kwa mteja yoyote. Pacha huyo ana nyumba nzuri ya kifisadi maeneo ya UZUNGUNI mjini DODOMA ila huwa haitumii ili kuipunguzia serikali gharama!
 

Amevunja miiko ya azimio la arusha ... afukuzwe kwenye chama ... bila hata kigugumizi cha kumpelekea barua!!
 
Weweeee,huyo fisadi aionee serikali huruma kwa lipi,fisadi ni fisadi tu na nyoka ni nyoka tu hata asiye na gamba anabaki kuwa nyoka tu
 
Weweeee,huyo fisadi aionee serikali huruma kwa lipi,fisadi ni fisadi tu na nyoka ni nyoka tu hata asiye na gamba anabaki kuwa nyoka tu
Rweye iyo ni lugha ya uandish nazani msg imefika
 
Habari nilizozipata kutoka kwa kada wa CCM ambaye yupo karibu na Andrew Chenge ambaye ni pacha mmoja kati ya mapacha watatu wa ufisadi, ana ka-bili ka vijisenti vichache katika hoteli ya kitalii ya DODOMA HOTELI.

Imethibitika bili hiyo ni ya chumba kimoja ambacho kimelipiwa kwa miaka mitano na huwa hakipangishwi kwa mteja yoyote. Pacha huyo ana nyumba nzuri ya kifisadi maeneo ya UZUNGUNI mjini DODOMA ila huwa haitumii ili kuipunguzia serikali gharama!
Mwanakili90, habari kama hizi, ndizo zinazoishushia hadhi jf mbele ya jamii.

Habari uliyoileta haina mashiko, simple logic haikubali eti mtu anapanga chumba hoteli kwa miaka 5 mfululizo hata kama yeye ni bilionea!.

Labda tuu niwasaidie kwa ufahamu wangu kuhusu hii biashara ya hoteli kwa jina la hospitality industry. Hoteli nyingi zina vyumba viitavyo presidential na wakati mwingi huwa reserved wakati wote kwa matumizi ya top management au VIP's. Hivyo kuna baadhi ya wabunge na hata mawaziri huwa na prefgerence ya kuishi Dodoma hoteli wakati wote wa kipindi cha bunge just for networking licha ya kutengewa nyumba maalum na serikali.

Ukiangalia at a bigger picture, its cheaper Waziri akikaa Dodoma hotel kuliko akikaa kwenye nyumba aliyopangiwa.

Akikaa Dodoma hoteli atatumia rough estmate ya shiling 100,000 per day. Akiishi kwenye nyumba ya serikali, sio tuu atatumia fedha hizo hizo, bali pia atatumia kulisha weatu wengune 5, walinzi wawili, wafanyakazi wa ndani wawili, mwangalizi wa nyumba 1, hapo sijamuhesabu dereva na msaidizi wa waziri.

Kama mtu ana vijisenti vyake, kaamua kuishi hotelini, what is a big deal?.

Issue ya hawa mapacha watatu ni tusubiri hizo barua tuone vigezo vitakavyotumiwa, sio tunapoona mapacha watatu wako maji ya shingo, basi ndio tuwafunge majiwe shingoni ili wazame kabisa!.
 
ndio maana laana zinamuandama, kila siku aibu hazitomuacha. Ajiandae kufumaniwa akitaka kumnyonya damu zeruzeru
 
Naona unajitahidi sana kuwatetea,ni nduguzo nini?au kuna pc unapewa?
 
Mwanakili90, habari kama hizi, ndizo zinazoishushia hadhi jf mbele ya jamii.

Habari uliyoileta haina mashiko, simple logic haikubali eti mtu anapanga chumba hoteli kwa miaka 5 mfululizo hata kama yeye ni bilionea!.

Labda tuu niwasaidie kwa ufahamu wangu kuhusu hii biashara ya hoteli kwa jina la hospitality industry. Hoteli nyingi zina vyumba viitavyo presidential na wakati mwingi huwa reserved wakati wote kwa matumizi ya top management au VIP's. Hivyo kuna baadhi ya wabunge na hata mawaziri huwa na prefgerence ya kuishi Dodoma hoteli wakati wote wa kipindi cha bunge just for networking licha ya kutengewa nyumba maalum na serikali.

Ukiangalia at a bigger picture, its cheaper Waziri akikaa Dodoma hotel kuliko akikaa kwenye nyumba aliyopangiwa.

Akikaa Dodoma hoteli atatumia rough estmate ya shiling 100,000 per day. Akiishi kwenye nyumba ya serikali, sio tuu atatumia fedha hizo hizo, bali pia atatumia kulisha weatu wengune 5, walinzi wawili, wafanyakazi wa ndani wawili, mwangalizi wa nyumba 1, hapo sijamuhesabu dereva na msaidizi wa waziri.

Kama mtu ana vijisenti vyake, kaamua kuishi hotelini, what is a big deal?.

Issue ya hawa mapacha watatu ni tusubiri hizo barua tuone vigezo vitakavyotumiwa, sio tunapoona mapacha watatu wako maji ya shingo, basi ndio tuwafunge majiwe shingoni ili wazame kabisa!.
we pasco unasumbua!! Ivi ni habari ipi unayotaka iwekwe humu? Kuijulisha jamii kuhusu mambn yanayohusu viongozi wao ni kosa? Wewe hujawai hata kupanga chumba cha hoteli japo hata wiki moja,ila kuhusu hili la miaka mitano kwako waliona ni jambo dogo? Uwe unakua my fellow!
 
Mwanakili90, habari kama hizi, ndizo zinazoishushia hadhi jf mbele ya jamii.

Habari uliyoileta haina mashiko, simple logic haikubali eti mtu anapanga chumba hoteli kwa miaka 5 mfululizo hata kama yeye ni bilionea!.

Labda tuu niwasaidie kwa ufahamu wangu kuhusu hii biashara ya hoteli kwa jina la hospitality industry. Hoteli nyingi zina vyumba viitavyo presidential na wakati mwingi huwa reserved wakati wote kwa matumizi ya top management au VIP's. Hivyo kuna baadhi ya wabunge na hata mawaziri huwa na prefgerence ya kuishi Dodoma hoteli wakati wote wa kipindi cha bunge just for networking licha ya kutengewa nyumba maalum na serikali.

Ukiangalia at a bigger picture, its cheaper Waziri akikaa Dodoma hotel kuliko akikaa kwenye nyumba aliyopangiwa.

Akikaa Dodoma hoteli atatumia rough estmate ya shiling 100,000 per day. Akiishi kwenye nyumba ya serikali, sio tuu atatumia fedha hizo hizo, bali pia atatumia kulisha weatu wengune 5, walinzi wawili, wafanyakazi wa ndani wawili, mwangalizi wa nyumba 1, hapo sijamuhesabu dereva na msaidizi wa waziri.

Kama mtu ana vijisenti vyake, kaamua kuishi hotelini, what is a big deal?.
sasa chenge ni waziri au mbunge?nieleweshe mkuu.
 
Mwanakili90, habari kama hizi, ndizo zinazoishushia hadhi jf mbele ya jamii.

Habari uliyoileta haina mashiko, simple logic haikubali eti mtu anapanga chumba hoteli kwa miaka 5 mfululizo hata kama yeye ni bilionea!.

Labda tuu niwasaidie kwa ufahamu wangu kuhusu hii biashara ya hoteli kwa jina la hospitality industry. Hoteli nyingi zina vyumba viitavyo presidential na wakati mwingi huwa reserved wakati wote kwa matumizi ya top management au VIP's. Hivyo kuna baadhi ya wabunge na hata mawaziri huwa na prefgerence ya kuishi Dodoma hoteli wakati wote wa kipindi cha bunge just for networking licha ya kutengewa nyumba maalum na serikali.

Ukiangalia at a bigger picture, its cheaper Waziri akikaa Dodoma hotel kuliko akikaa kwenye nyumba aliyopangiwa.

Akikaa Dodoma hoteli atatumia rough estmate ya shiling 100,000 per day. Akiishi kwenye nyumba ya serikali, sio tuu atatumia fedha hizo hizo, bali pia atatumia kulisha weatu wengune 5, walinzi wawili, wafanyakazi wa ndani wawili, mwangalizi wa nyumba 1, hapo sijamuhesabu dereva na msaidizi wa waziri.

Kama mtu ana vijisenti vyake, kaamua kuishi hotelini, what is a big deal?.

Issue ya hawa mapacha watatu ni tusubiri hizo barua tuone vigezo vitakavyotumiwa, sio tunapoona mapacha watatu wako maji ya shingo, basi ndio tuwafunge majiwe shingoni ili wazame kabisa!.

Mkuu hata mimi nimeshindwa kukuelewa!! yeye siyo waziri ila niliwahi kusikia kuwa tangia alivyoteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikweka vyumba viwili pale dodoma hotel kwa ajili ya shughuli za bunge (tetesi) na alivyo teuliwa kuwa waziri wa miundombinu aliambiwa akaishi rest house lakini akataaa na kuendelea kuishi dodoma hotel. Sijui hadi sasa kama bado anaishi huko na kama anaishi huko basi atakuwa kailipa toka mfukoni mwake. Hapo awali alikuwa akilipiwa na serikali kwa kuwa alikuwa serikalini. Pamoja na hayo mkuu umesema kwamba akiishi (assumption: Waziri) hotelini inakuwa nafuu ukilinganisha na akiwa nyumbani na umetaja dereva, wafanyakazi, walizni, n.k. Ina maana akiishi hotelini anakuwa hana dereva wala msaidizi? Mimi najua akiishi hotelini serikali inalipa na wasaidizi wake wote hao wanalipwa pia. Hakuna saving hapa kaka ila gharama juu ya gharama.
 
Mkuu hata mimi nimeshindwa kukuelewa!! yeye siyo waziri ila niliwahi kusikia kuwa tangia alivyoteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikweka vyumba viwili pale dodoma hotel kwa ajili ya shughuli za bunge (tetesi) na alivyo teuliwa kuwa waziri wa miundombinu aliambiwa akaishi rest house lakini akataaa na kuendelea kuishi dodoma hotel. Sijui hadi sasa kama bado anaishi huko na kama anaishi huko basi atakuwa kailipa toka mfukoni mwake. Hapo awali alikuwa akilipiwa na serikali kwa kuwa alikuwa serikalini. Pamoja na hayo mkuu umesema kwamba akiishi (assumption: Waziri) hotelini inakuwa nafuu ukilinganisha na akiwa nyumbani na umetaja dereva, wafanyakazi, walizni, n.k. Ina maana akiishi hotelini anakuwa hana dereva wala msaidizi? Mimi najua akiishi hotelini serikali inalipa na wasaidizi wake wote hao wanalipwa pia. Hakuna saving hapa kaka ila gharama juu ya gharama.
Bora useme!
 
Mwanakili90, habari kama hizi, ndizo zinazoishushia hadhi jf mbele ya jamii.

Habari uliyoileta haina mashiko, simple logic haikubali eti mtu anapanga chumba hoteli kwa miaka 5 mfululizo hata kama yeye ni bilionea!.

Labda tuu niwasaidie kwa ufahamu wangu kuhusu hii biashara ya hoteli kwa jina la hospitality industry. Hoteli nyingi zina vyumba viitavyo presidential na wakati mwingi huwa reserved wakati wote kwa matumizi ya top management au VIP's. Hivyo kuna baadhi ya wabunge na hata mawaziri huwa na prefgerence ya kuishi Dodoma hoteli wakati wote wa kipindi cha bunge just for networking licha ya kutengewa nyumba maalum na serikali.

Ukiangalia at a bigger picture, its cheaper Waziri akikaa Dodoma hotel kuliko akikaa kwenye nyumba aliyopangiwa.

Akikaa Dodoma hoteli atatumia rough estmate ya shiling 100,000 per day. Akiishi kwenye nyumba ya serikali, sio tuu atatumia fedha hizo hizo, bali pia atatumia kulisha weatu wengune 5, walinzi wawili, wafanyakazi wa ndani wawili, mwangalizi wa nyumba 1, hapo sijamuhesabu dereva na msaidizi wa waziri.

Kama mtu ana vijisenti vyake, kaamua kuishi hotelini, what is a big deal?.

Issue ya hawa mapacha watatu ni tusubiri hizo barua tuone vigezo vitakavyotumiwa, sio tunapoona mapacha watatu wako maji ya shingo, basi ndio tuwafunge majiwe shingoni ili wazame kabisa!.

Mkuu kwani serikali haikujua hilo ilipoamua kumpa nyumba. Hivi hawa wote uliwataja kwenye red wataajiriwa wapi kama sio kwa mtu kama huyu. Vyanzo vya ajira vitapatikana wapi? Usiwe mwepesi wa kutetea uzembe kama huu mkuu! Kinachomfanya akae hoteli hata wewe unakijua na wala sio kupunguza gharama!
 
Mkuu kwani serikali haikujua hilo ilipoamua kumpa nyumba. Hivi hawa wote uliwataja kwenye red wataajiriwa wapi kama sio kwa mtu kama huyu. Vyanzo vya ajira vitapatikana wapi? Usiwe mwepesi wa kutetea uzembe kama huu mkuu! Kinachomfanya akae hoteli hata wewe unakijua na wala sio kupunguza gharama!
Hawana habari,sisi tuliopata bahati ya kushudia vikao vya hawa jamaa huku dom,hua tunaona mengi, HUA WANAWEKA PLATE NAMBA ZA BANDIA ILI KUFANYA MAMBO YAO YA DUNIA NA MAGARI YA WALIPAKODI WA NCHII HII,NA BDO HAWAAMBIWI LOLOTE
 
Habari nilizozipata kutoka kwa kada wa CCM ambaye yupo karibu na Andrew Chenge ambaye ni pacha mmoja kati ya mapacha watatu wa ufisadi, ana ka-bili ka vijisenti vichache katika hoteli ya kitalii ya DODOMA HOTELI.

Imethibitika bili hiyo ni ya chumba kimoja ambacho kimelipiwa kwa miaka mitano na huwa hakipangishwi kwa mteja yoyote. Pacha huyo ana nyumba nzuri ya kifisadi maeneo ya UZUNGUNI mjini DODOMA ila huwa haitumii ili kuipunguzia serikali gharama!
Ana chumba pia Kempinski-Dar pamoja ya kuwa na nyumba Oysterbay hii inadhihirisha huyu mzee ni fuska.Pia ndigu wa wale wasichana aliwauwa baada ya kugonga bajaj walidai alikuwa anafahamiana nao akifikia kwenye hoteli Mwanza ambapo pia ana chumba cha kudumu.
 

Amevunja miiko ya azimio la arusha ... afukuzwe kwenye chama ... bila hata kigugumizi cha kumpelekea barua!!

Mapacha watatu ni chatu wakali kwa kuwa ccm inajaribu kuwarushia gongo kitakachotokea ni aibu kwa ccm maana ninavyowafahamu hawatakubali waondoke hivihivi lazima watoke na mtu!!!!
 
Back
Top Bottom