Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Habari nilizozipata kutoka kwa kada wa CCM ambaye yupo karibu na Andrew Chenge ambaye ni pacha mmoja kati ya mapacha watatu wa ufisadi, ana ka-bili ka vijisenti vichache katika hoteli ya kitalii ya DODOMA HOTELI.
Imethibitika bili hiyo ni ya chumba kimoja ambacho kimelipiwa kwa miaka mitano na huwa hakipangishwi kwa mteja yoyote. Pacha huyo ana nyumba nzuri ya kifisadi maeneo ya UZUNGUNI mjini DODOMA ila huwa haitumii ili kuipunguzia serikali gharama!
Imethibitika bili hiyo ni ya chumba kimoja ambacho kimelipiwa kwa miaka mitano na huwa hakipangishwi kwa mteja yoyote. Pacha huyo ana nyumba nzuri ya kifisadi maeneo ya UZUNGUNI mjini DODOMA ila huwa haitumii ili kuipunguzia serikali gharama!