MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Hiki kifungu cha sera ya chadema kimenigusa.Tutageuza majengo yote ya Serikali Dodoma kuwa vyuo vikuu na vyuo vya ufundi kwa kuendelea na azma yetu ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia makao makuu kwenda Dodoma. Dodoma itakuwa ni jiji la vyuo na kitovu cha elimu cha nchi.
Serikali inapoteza pesa nyingi ajabu kuwa na ofisi za wizara Dar na Dom, nadhani ni zaidi ya miaka 40 tangu ujenzi wa makao makuu Dodoma ulipoanza na kila mwaka mabilioni ya pesa yanaelekezwa huko.
Ni bora majengo yaliyojengwa yakageuzwa madarasa na hosteli za wanafunzi