NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Wanajf wenzangu,hv hawa bodi ya mkopo mbona wanakosa utu,yani mm mwenzenu nimemaliza 4m6 na nilisajiliwa kwa njia ya nacte(nlsoma pre-entry)nachukua civil engneer,but mpaka leo bodi ya mkopo wanatuyeyusha na tushaamza kusoma ada cjalipa 2mepewa wk mbl 2we 2shalpa alafu chakula cha shda,wanadai eti bajet imekwisha jaman naomba vija 2ishinikize jaman bodi ya mikopo ituangalie cc walala hoi.JAMAN NIMECKITIKA KWANI NAHSI Hk n kihama cha elimu yangu,naomba mnisaidie kimawazo,