Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
huyo kapata viza ya Bukina Faso, akishakusettle utamuona
usiniambie Anyisile yupo Ouagadougou....he!!
huyo kapata viza ya Bukina Faso, akishakusettle utamuona
Sheria za JF haziruhusu kutoa details zaidi, lakini ningeweka mpaka picha ya kibanda anachoishi ndani ya Ogadugu, halaf mbona unamuulizia sana? nitegemee kibuti nini?usiniambie Anyisile yupo Ouagadougou....he!!
Sheria za JF haziruhusu kutoa details zaidi, lakini ningeweka mpaka picha ya kibanda anachoishi ndani ya Ogadugu, halaf mbona unamuulizia sana? nitegemee kibuti nini?
.......wait a minute :A S 39:, ati...:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:hakuna cha kibuti wala nini....alikuwa ananipa mavideo makali makali sasa nimeyamiss
Felo tableti nddio nini
.......wait a minute :A S 39:, ati...:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
:doh:
dah! afazali, manaake hapa kitaani nishajipakazia na watu wote wanajua kwamba nina mchumbaangu greti thinka.hakuna cha kibuti wala nini....alikuwa ananipa mavideo makali makali sasa nimeyamiss
uporoto alikuwa anatumia PC ya jirani kuingia JF na bahati mbaya jirani yake kahama. Yupo kwenye mikakati mipya atalejea.
Asprin na Klorokwin ni vidonge kwa hiyo jamaa wanaitana Fellow tablet
Hahahaha...hebu mjaribu na Jack Cheng leo....ukifanikiwa ntakupa namba za invizibo, upige yeye afu unikabizi mimi u-invizibo watu wachezee BAN za kufa mtu
Mbona wantisha mwayego....chooni si kuna harufu ya kinyesi cha binadamu? Mi sipendi mav.i bana.
Gesti hazina choo, na zawadi yangu lazima nipewee chooni
Ni Fellow tablets....za pharmacy na wanazokunywa kina mama wazazi...
mkuu unanifanya nifurahi kila ninaposoma post zako, hujakosea kusema
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
dah! napenda kuchukua fursa hii kushukuru ujio wa member mpya anaekwenda kwa jina la "fellow tablet"
idumu mzumbe!
idumu muhimbili!
idumu pharmacy!
idumu maternity ward!
tunaombwa tumpe ushirikiano memba huyu mpya na muhim
usibitisho wa memba mpya ni huu hapa.
- The Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:
Fellow Tablet (Today)
jamani humu ndani kuna mtu alikuwa anaitwa ACID sijui alipotelea wapi. Popote ulipo unaombwa urudi michango yako tunaimiss!! we miss your CRITICAL thinking!!
Zawadi itatolewa kwa yeyote atakayeweza kum-convince arudi!!.
je wewe unam-miss nani unatamani arudi jamvini?
Acid alikufa kwenye milipuko ya mabomu Gongo la Mboto.
Aiseeee!
REV????
Huyu ni wewe ??
kwa nini tu, ni nini tu, na nani tu???
Name calling is violation of JF rules! Nimeandika kiinglish kukumbushia na kuweka msisitizo usije pata BAN....FT ni member mwingine huenda si Rev