klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
tunaomba ushahidi wa picha.ACID atakuwa ana hang over nilikuwa nae jana savannah
tunaomba ushahidi wa picha.ACID atakuwa ana hang over nilikuwa nae jana savannah
Hebu niPM basi tupange mikakati....wallahi mafua yananitesa sana!hazina masharti usijali nna dawa ya mafua babu kasingiziwa,hayatorudi mpaka baada ya miaka 250
Umeona eh?alamba alamba, ham ham ham... alamba tena!!!!
Nani kaiba pasiwedi ya fellow tablet?dah! leo nimeamka na mood ya kuzitwanga kweli aisee! acha nitafte mzembe nianzishe nae bifu
waungwana including fellow tablet, hapa kunaendelea nini?
yansozaa.....alamba alamba, ham ham ham... alamba tena!!!!
weye huna haja ya pm wala nini njoo Mwananyamala nshakuelekeza mpaka choo kinaangalia wapi...Hebu niPM basi tupange mikakati....wallahi mafua yananitesa sana!
Umeona eh?
Nani kaiba pasiwedi ya fellow tablet?
weye huna haja ya pm wala nini njoo Mwananyamala nshakuelekeza mpaka choo kinaangalia wapi...
hehehe fellow tablet jana niliota nazitwanga na van damme halaf huwez kuamini niling'oa meno mawili ya mbele ya vandamme, hii ndoto imenipa ushujaa kweli aisee! Leo lazima niondoke na nyonga ya mtu hapa.Hebu niPM basi tupange mikakati....wallahi mafua yananitesa sana!
Umeona eh?
Nani kaiba pasiwedi ya fellow tablet?
hahahaah Mwananyamala japo ukishapewa dawa chooni utahudhuria.Sasa nije Mwananyamala au chooni au mwananyamala chooni?
weye huna haja ya pm wala nini njoo Mwananyamala nshakuelekeza mpaka choo kinaangalia wapi...
Khaaaaa! hivi CCM wamepiga marufuku gesti zisitumike?Sasa nije Mwananyamala au chooni au mwananyamala chooni?
Al-Qaeda wametega mabomu hujui hilo,shaurilooo..Khaaaaa! hivi CCM wamepiga marufuku gesti zisitumike?
ni lugha ya pharmacy na maternity ward, kama haujasoma mzumbe hauwezi kuelewa. na tukikuelewesha unaweza ukaripoti kwa mod tukala banFelo tableti nddio nini
"risky sex is always the best", nendeni bana, heri kufa kwa bomu kuliko kufa kwa ukimwiAl-Qaeda wametega mabomu hujui hilo,shaurilooo..
Hahahaha...hebu mjaribu na Jack Cheng leo....ukifanikiwa ntakupa namba za invizibo, upige yeye afu unikabizi mimi u-invizibo watu wachezee BAN za kufa mtuhehehe fellow tablet jana niliota nazitwanga na van damme halaf huwez kuamini niling'oa meno mawili ya mbele ya vandamme, hii ndoto imenipa ushujaa kweli aisee! Leo lazima niondoke na nyonga ya mtu hapa.
Mbona wantisha mwayego....chooni si kuna harufu ya kinyesi cha binadamu? Mi sipendi mav.i bana.hahahaah Mwananyamala japo ukishapewa dawa chooni utahudhuria.
Gesti hazina choo, na zawadi yangu lazima nipewee chooniKhaaaaa! hivi CCM wamepiga marufuku gesti zisitumike?
Ni Fellow tablets....za pharmacy na wanazokunywa kina mama wazazi...Felo tableti nddio nini
ni lugha ya pharmacy na maternity ward, kama haujasoma mzumbe hauwezi kuelewa. na tukikuelewesha unaweza ukaripoti kwa mod tukala ban
hehehe hapo red jana mkuu wa kaya kamlamba ban JS halaf kamuanzishia sred ya besdei. Mkuu wa kaya bana!Hahahaha...hebu mjaribu na Jack Cheng leo....ukifanikiwa ntakupa namba za invizibo, upige yeye afu unikabizi mimi u-invizibo watu wachezee BAN za kufa mtu
Mbona wantisha mwayego....chooni si kuna harufu ya kinyesi cha binadamu? Mi sipendi mav.i bana.
Gesti hazina choo, na zawadi yangu lazima nipewee chooni
Ni Fellow tablets....za pharmacy na wanazokunywa kina mama wazazi...
hehehe hapo red jana mkuu wa kaya kamlamba ban JS halaf kamuanzishia sred ya besdei. Mkuu wa kaya bana!
Hehehehe lakini kuna jamaa kanitumia PM huku kasema Blackberry ndio member pekee wa JF ambae hatumii mkorogo. sijui unaongea nini kuhusu hili mheshimiwa?Hahaha..huyo Kasoma Weru Weru.
Hehehehe lakini kuna jamaa kanitumia PM huku kasema Blackberry ndio member pekee wa JF ambae hatumii mkorogo. sijui unaongea nini kuhusu hili mheshimiwa?