Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
jipange upya huyo hana lolote ameshindwa kubadilika.....mwanaume analia nafikiri unafiki analilia faranga ulikuwa unampatia
I thnk u need 2 sit dwn and av sam 9c desitn aprt 4m extrnl forcs!
Mkuu unayetumia mobile nafikiri ungeaandika post yako ikaeleweka zaidi kuliko kuweka hizo initials ambazo ziko kwenye blue color
umeongea umemaliza na yangu,asanteKaa ufikiri na upate jibu la swali hili - anakupenda? Ukipata hilo na wewe jiulize - unampenda? Baada ya hapo usikilize moyo wako utakuwa unakuambia nini
tee teeh teeh inaelekea wewe niwale wakung'ang'ania wanaume yote hayo lakini bado unajishauri?ni mwaka3 sasa tangu nianze uhusiano na huyu kaka,kiuwezo tunatofautina sana but sikujali hilo nami nmejitahidi sana kumpa penzi langu,nimejitahidi kumtunza na nimekuwa nikimvumilia sana nami aniridhishe,anipe penzi na matunzo yale anayostahili kupata mwanamke but sipait,nikimweleza ananiambia nivumilie atabadilika but mpaka sasa sioni mabadiliko yoyote,namweleza basi kama huwezi kuleta mabadiliko katika penzi letu basi jtahidi hata wewe mwenyewe kushughulika.
Kwasababu somtimes anaishiwa kabisa inabidi nimsaidie but mimi ninavyoamini mapenzi ni kusaidiana,kuonyesha ushirikiano ili wote mfurahi,hakuna lolote analoweza kunipa zaid ya penzi kitandani na muda wote nashrikiana nae tu ili nimfurahishe but mie sina amani wala furaha,kuna wakait nilikuwa nikikaa namwaza yeye tu,namuota yeye tu but now nimechoka maana sina amani wala furaha maana mimi na weakness moja napenda kubembelezwa napenda ile attention toka kwa mwanamme but hata hayo hakuna, I feel i need to move on or nitulize nafsi na akili yangu ili nipate kusoma maana niko mwaka wa mwisho wa masomo chuo but nilipojaribu kumweleza mwenzangu ame-react na ku-complain nimpe nafasi nyingne atabadilika but mi nimemweleza feelings zangu kwake zmeisha naamini mambo yatakuwa yaleyale nami nmeboreka.
But nilipomueleza yote haya darasani haendi,vpind haudhurii,hanafuraha kama kachanganyikiwa,he says he cant do without me,analia kabisa anataka nimpe chance nyingne hata kwahuruma tu angalau amalize masomo but mimi sitaki kupretend namjali wakati nimechoka naona kama na muumiza nami najiumiza nakujipa mawazo,still sina furaha yaan ndo hivi hebu nipeni mwangaza nifanye nini?
hivi hawa .com huku jamvini mbona wanatuchanganya, sasa hapa kaandika nini.
Kweli akuna chazaid zaid ya hilo afate 2 ushauli wako.nikwambie.....:" wewe unampenda huyo kijana ila tatizo tu hana pesa hata ya kukusaidia hata nguo ya ndani coz najua your not demanding of expensive things from him, ni vile tu vya kukufanya ujisikie na wewe unapendwa, sasa basi hao watu wapo na ndio wanaoitwa masharo..huyo mwanaume siokuwa hajua nin yampasa yeye afanye ila anapenda mtelemko ..na huko kujiliza kisikustue eti ukadhani ana mapenzi hapana analilia pesa na huduma ulizokuwa uanmsaidia do you think ukiendeleza mgomo hatapata mpenzi mwingine?usikubali kuendelea naye muache kama mpenzi hana msaada wowote kwako mwambie its over, kwa nn utunze nguo iliyokuruka ndani ?