gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
We Prince umr huo sio wakuanza kuafikiria wapenzi kumbuka kama uko chuo unafikiri kuna mwanamke atakaye vutiwa na wewe pasi malengo? inawezekana unamonekano mzuri tu lakin kimapenz bado hauqualify kwani hivi ukimpata dem hapo halaf inakuwaje? soma kijana uliza wenzio, walianza serious reletionships baada ya kumaliza chuo na atleast kupata kazi vingnevyo unatafuta frustrations bure. tena try to be very careful manake kwa jinsi ulivyooandika siku ukipata wanachokitak manawake utajikuta umewapanga foleni.