Nahitaj Cimu yenye speed ya internet
na application nying
Acha wogq kamata galaxy 3 made for humans
Nahitaj Cimu yenye speed ya internet
na application nying
Mimi nikitaka Kununua Simu Naangalia Yafuatayo.
1. Ram- ianzie 512Mb Mpaka 1Gb
2. OS iwe Android 2.3 na kuendelea au Symbian s60
3. CPU Ianzie 832Mhz au 1Ghz
4. Camera ianzie 5Mp
5. Internet 3G na kuendelea
Mengine nitajua Mwenyewe.
SIMU HIZI ZINAFAA
Nokia 603
Samsung Galaxy Ace Duos s6802
Samsung Galaxy S
vp khs HTC DIAMOND?HTC Chacha
HTC status
Nokia E6
kama unavyo ziona hapo juu, inategemea unataka kutumia simu kwa kazi gani na unapenda kutumia apps zipi kwenye simu yako?
Je, jina la kampuni ya simu lina mata kwako??
vp khs HTC DIAMOND?
hapo mkuu nakushaur uchukue nokia e6, kwa vgezo hapo n kwamba... Ukija ktk storage nokia ina 8gb wakat hzo htc zna mb 512 tuuu.... Pili ktk camera hyo nokia ina 8 megapixels wkat hzo htc zna 3.1 megapixels,.. Tatu n kwamba nokia e6 n qwerty af pia ni touch scrn na htc pia hyo znayo!
I agree with you bola achukue Nokia E6
It's because simu za android ziko kama utitiri mitaani, and Symbian wana device chache saana
Mimi nikitaka Kununua Simu Naangalia Yafuatayo.
1. Ram- ianzie 512Mb Mpaka 1Gb
2. OS iwe Android 2.3 na kuendelea au Symbian s60
3. CPU Ianzie 832Mhz au 1Ghz
4. Camera ianzie 5Mp
5. Internet 3G na kuendelea
Mengine nitajua Mwenyewe.
SIMU HIZI ZINAFAA
Nokia 603
Samsung Galaxy Ace Duos s6802
Samsung Galaxy S
hapo mkuu nakushaur uchukue nokia e6, kwa vgezo hapo n kwamba... Ukija ktk storage nokia ina 8gb wakat hzo htc zna mb 512 tuuu.... Pili ktk camera hyo nokia ina 8 megapixels wkat hzo htc zna 3.1 megapixels,.. Tatu n kwamba nokia e6 n qwerty af pia ni touch scrn na htc pia hyo znayo!