Nina mdogo wangu ambaye alikuwa anasumbuliwa na tatizo vaginal infection jana alienda hospital na akapewa vdonge vya kuingiza sehem za sir kwa 6 days,tatizo n kwmba leo ameingia period ameniuliza aendelee na doz au akatishe doz mpaka period iishe coz anaofia dawa inaweza isifanye kazi