mimi ni naitwa mussa wa arusha. narudia tena kenye janvi hili natafuta mchumba ambaye atayekuwa mke wangu. akiwa mikoa hii dar es saalam, arusha, kilimanjaro, singida, manyara na tanga itakuwavizu kwan itakuwa rahisi kuonana
sifa zangu ni: nina miaka29, ni mwajiriwa serikalini, muislam, elimu ya chuo kikuu, si mfupi ni mrefu wa wastani, ni maji ya kunde, ni mchapakazi
sifa za mwanamke: miaka18-27, elimu kuanzia form four na kuendelea, awe mzur wa kuvutia, awe muislsm au mkristo,awe anafanya kazi au biashara, awe na umbo linalovutia, awe na maadil
kwa aliye tayari ani PM au email yangu ni mussaomary989@yahoo.com email na msg zote zitajibiwa kwa wakati
sifa zangu ni: nina miaka29, ni mwajiriwa serikalini, muislam, elimu ya chuo kikuu, si mfupi ni mrefu wa wastani, ni maji ya kunde, ni mchapakazi
sifa za mwanamke: miaka18-27, elimu kuanzia form four na kuendelea, awe mzur wa kuvutia, awe muislsm au mkristo,awe anafanya kazi au biashara, awe na umbo linalovutia, awe na maadil
kwa aliye tayari ani PM au email yangu ni mussaomary989@yahoo.com email na msg zote zitajibiwa kwa wakati