Mzee wa Mbinu
JF-Expert Member
- Nov 1, 2011
- 245
- 126
Ni mambo ya kushangaza kuwa kushiriki walisema hili ni shindano la bure lakini cha kushangaza sisi wananchi wa hali ya chini tunaendelea kukatwa kiasi cha Tshs. 550 kila siku hata kama hujatuma hiyo sms ya kushiriki kwa hesabu ndogo voda com ina wateja Milioni 4.5 kwa kuwaibia kiasi hicho cha fedha inakuwa imekusanya kiasi cha Tshs. 2.475 Bilioni kwa siku.
Huu wizi wa huyu jamaa wa kagoda ltd yaani yeye anataka mpaka watanzainia wamtambue yeye ni bingwa wa wizi yaani anatunyonya kwenye kila nyanja za kiuchumi, jamaa noma ile mbaya huku kagoda, huku richmond, huku dorwans, hivi hawezi kufanya biashara kwa haki kama wengine?
Huu wizi wa huyu jamaa wa kagoda ltd yaani yeye anataka mpaka watanzainia wamtambue yeye ni bingwa wa wizi yaani anatunyonya kwenye kila nyanja za kiuchumi, jamaa noma ile mbaya huku kagoda, huku richmond, huku dorwans, hivi hawezi kufanya biashara kwa haki kama wengine?