Piere. Fm JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,208 1,170 Mar 12, 2011 #1 Jakaya Kikwete ameongoza Tanzania kwa zaid ya miaka mitano sasa je kama mtanzania ni jambo gani ambalo litakufanya umkumbuke kama Rais wako?
Jakaya Kikwete ameongoza Tanzania kwa zaid ya miaka mitano sasa je kama mtanzania ni jambo gani ambalo litakufanya umkumbuke kama Rais wako?
Kaa la Moto JF-Expert Member Apr 24, 2008 7,903 1,052 Mar 12, 2011 #2 Rais fisadi, mpenda mademu, na legelege anayejichekesha wakati wote kuliko marais wote!