Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,571
- 2,068
Kuna jamaa mmoja aliota amekufa, alipofika mbinguni akaambiwa kama anataka kurudi duniani achague mambo mawili. Arudi akiwa KUKU au PANYA.
Jamaa akachagua awe kuku. Akaambiwa kama awe kuku basi achukue zoezi la kutaga, jamaa kumaliza kutaga tu kaamka kajinyea kitandani.
Jamaa akachagua awe kuku. Akaambiwa kama awe kuku basi achukue zoezi la kutaga, jamaa kumaliza kutaga tu kaamka kajinyea kitandani.