Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
[h=6]Jamaa kaingia kwenye choo kwenye baa moja yenye vyoo kadhaa. Ile anataka kukaa akasikia sauti toka choo cha pili....
Sauti: "Vipi mambo?"
Jamaa: (Kwa upole) "Poa tu..."
Sauti: "Unafanya nini saa hizi?!?"
Jamaa: "Najisaidia..."
Sauti: "Eee bwana ngoja nikate simu ntakupigia baadae kuna **** choo cha pili anajibu kila ninachokuuliza!!!!!"
[/h]
Sauti: "Vipi mambo?"
Jamaa: (Kwa upole) "Poa tu..."
Sauti: "Unafanya nini saa hizi?!?"
Jamaa: "Najisaidia..."
Sauti: "Eee bwana ngoja nikate simu ntakupigia baadae kuna **** choo cha pili anajibu kila ninachokuuliza!!!!!"
[/h]