Kuna rafiki yangu mmoja anafanya kazi nje ya nchi, ana mchumba wake wanataka kufunga ndoa mwaka huu
mchumbake yupo bongo anafanya kazi.Huyu jamaa hii kazi inamlipa sio mbaya ila ni ya mkataba ambao unaisha mwakani
katika pilkapilka kapata kazi nyingine Bongo hii kazi ni permanent na mshahara wake ni nusu ya ule mshshara anaopokea nje
jamaa anashindwa afanye nini anataka pesa haraka haraka na pia Bado anatamani kukaa na familia karibu siunajua
tena familia siku hizi tumsaidieje jamaa yetu????hii kazi ya bongo 100% kapata mshahara nusu ya ule na nyumba maji umeme
freee na matibabu ya familia
mchumbake yupo bongo anafanya kazi.Huyu jamaa hii kazi inamlipa sio mbaya ila ni ya mkataba ambao unaisha mwakani
katika pilkapilka kapata kazi nyingine Bongo hii kazi ni permanent na mshahara wake ni nusu ya ule mshshara anaopokea nje
jamaa anashindwa afanye nini anataka pesa haraka haraka na pia Bado anatamani kukaa na familia karibu siunajua
tena familia siku hizi tumsaidieje jamaa yetu????hii kazi ya bongo 100% kapata mshahara nusu ya ule na nyumba maji umeme
freee na matibabu ya familia