Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 604
Aende igunga
hapa kuna kamchezo kanachezeka na watakaoingia line wataozea jela wkt huyu jamaa akipeta mjini kwa kisingizio cha mwendawazimuJamaa huyo ni miezi mi3 ana2kana 2.
Aende igunga
kwa hiyo..!!
embu endeleza ka research kako ka kusikiliza Kila anayeongea anasemaje.. embu nipe taarifa eti kuna mtu anamsema baby wangu huko??
Akija mwita25,rejao, riz 1, etc. Utasikia katumwa na chadema. Ngoja utaona.
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
WANAOMFAHAMU HUYU JAMAA KITAMBO WANASEMA KIPINDI CHA NYUMA ALIKUWA HAPO HAPO POSTA, LAKINI AKIMUANDAMA SHEHE YAHYA NA KUMSEMA ILE MBAYA.SASA BAADA YA YAHYA KUFA NDO KAANZA KUMSHAMBULIA KIKWETE.
Akija mwita25,rejao, riz 1, etc. Utasikia katumwa na chadema. Ngoja utaona.
Acha ayaseme yaliyoko moyoni mwake!
Atakuwa padre huyo...
Kikwete bado ni raisi wetu, zao la maamuzi yetu watanzania, tuache kuwa vigeugeu!
Hata mi natukanaga
humu chumbani mwangu
hasa umeme ukikatika
halafu joto linisumbue
kisha sina kitu mfkoni
weeee anatukanika vibaya[/Q
UOTE]
duh km nakuona vile umeme ukikatika halafu uwepo na pesa unavyotundika gwanda zako ukatoe hasira baa.
He he hapa naandika jamaa pembeni hapa anapiga cm sijui kwa nani analalamika umeme umekatika hivyo leo harudi kwake mpaka umeme urudi.
Kazi ipo
Kikwete bado ni raisi wetu, zao la maamuzi yetu watanzania, tuache kuwa vigeugeu!
mwita25 hajalipwa hela zake za mwezi uliopita,amegoma kuingia jf