mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
make up sex hiyo inaitwa
Hapana shaka as long as kuna POLITICIANS hapa nchini kwetu ntawatafuta wawe washenga wangu maana ni mabingwa wa ku convince hasa wale wa chama fulani.........certainly! bt be warned,what appears to be too cheap is actually ver, VERY expensive. naku-pm physical adress ya mdingi ukampe chake.
mi naona hayakuhusu kiivyo,sio wewe wala jamaa yako nakushauri uendelee na ujenzi wa taifa,ni mtazamo wangu tu samahani.Juzi kuna rafiki yangu mmoja kanipa stori kwamba wana rafiki yao mmoja wa kike huwa anakula kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa boyfriend wake kiasi cha huyo dada kuwa na alama kama amewahi kuugua ule upele wa mwili mzima.
Sasa balaa ni kwamba jamaa akishamtembezea kipigo hivyo hata kama ni kwa kosa la kipuuzi namna gani lazima amalizie hasira zake kwa kufanya mapenzi na huyo mdada. Halafu balaa ni kwamba mdada kakolea mbaya........................
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaTatizo liko hapo maana hata kile kipigo nacho inawezekana dada wa watu kimkolea ile mbaya
Juzi kuna rafiki yangu mmoja kanipa stori kwamba wana rafiki yao mmoja wa kike huwa anakula kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa boyfriend wake kiasi cha huyo dada kuwa na alama kama amewahi kuugua ule upele wa mwili mzima.
Sasa balaa ni kwamba jamaa akishamtembezea kipigo hivyo hata kama ni kwa kosa la kipuuzi namna gani lazima amalizie hasira zake kwa kufanya mapenzi na huyo mdada. Halafu balaa ni kwamba mdada kakolea mbaya........................
Mdada mwenyewe kakolea kwa msela ile mbaya haezi fanya hivyo hata dakika moja asee
ndio mapenzi ya kikurya hayo!!wala hakuna tatizo hapo
Shhhhhhhhhhhh taratibu mzeee.................MIJITU mingine akili za kwenye Masaburi nani alikuambia wakurya wote wanapiga?!! ama kukariri kila mzungu ni padre...akili zako ongeza na za kunguru basi usituseme kwa ubaya tu bila kuwa na Evidence...wadada wenyewe wanajua shughuli za wanaume wa Mara...
amtafutie wahuni wamtie adabu huyo msela ..........anabahati sana sio mm
kumbe wanawake wenye maadili bado wapo eeh? huyo kaka ana bahati sana,mashaallah!