Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Kuna mshika mmoja analalamika kutongozwa na wanaume mwenzake, kisa cha yote ni mke wake. mke wa jamaa alienda sokoni na kukutana na mwanaume aliyemtongoza na kisha kumuomba namba ya cm mwanamke akakubali ila akadanganya jina na kutoa namba ya mumewe na kumwambia jamaa nipigie baadaye kwa kuwa sasa hivi haina chaji.
Kila akitongozwa na wanaume mwanamke huyo anafanya hivyohivyo jamaa amenilalamikia kuwa afanye nini kwa kuwa sasa imekuwa too much, jamaa wanapiga kumtongoza na wengine wanakuwa wakali wakisikia sauti ya kiume na wanamwambia " Acha kupokea simu za watu mpe mwenye simu yake." eti afanyeje?
Kila akitongozwa na wanaume mwanamke huyo anafanya hivyohivyo jamaa amenilalamikia kuwa afanye nini kwa kuwa sasa imekuwa too much, jamaa wanapiga kumtongoza na wengine wanakuwa wakali wakisikia sauti ya kiume na wanamwambia " Acha kupokea simu za watu mpe mwenye simu yake." eti afanyeje?