Hapana nitakata rufaa sio tukuyu, tumefisadiwa sana Lutona na Loya, ccm bana - halafu wanasema maisha bora kwa kila mmoja wetu! Anamaisha bora huyo jamaa au bora maisha?
Tena kule viti ni magogo ya miti, milango ni mabanzi ambayo mbao zake zinaibwa na mafisadi, sis kule mifugo na wanadam tunachaingia maji ya kunywa aisee! Maisha magum ni noma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.