Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,653
- 13,472
tunajuaje mwanamke naye hakuomba kuhudumiwa?
...good you may be right!
tunajuaje mwanamke naye hakuomba kuhudumiwa?
Kama mwenyewe alikuwa anataka? ndio inampunguzia maumivu. Au kama ndio mganga wao aliokuwa anamtibu kienyeji kawaambia hiyo ndio dawa? usiingilie mambo ya watu.
Huo unaitwa udaku, Unguja watu kama wewe mnasutwa na karabai 7, tena mchana na unaletewa beni na bembe useme vizuri.