M Mateka Senior Member May 2, 2011 131 41 Jun 13, 2012 #1 Sio kama mnavyofikiria..... ni kwamba jamaa aliwagonga na baiskeli kwa bahati mbaya.
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Jun 14, 2012 #4 astaghafilulah, laana sumakha
data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,138 22,709 Jun 14, 2012 #5 wala hatukufikiria kama ww ulicho shuku... ila nia yako ilikua ni upuuzi uliouwaza wewe ukidhani na siye tuna mawazzo hayo.
wala hatukufikiria kama ww ulicho shuku... ila nia yako ilikua ni upuuzi uliouwaza wewe ukidhani na siye tuna mawazzo hayo.
Duduwasha JF-Expert Member Nov 3, 2010 5,703 3,653 Jun 17, 2012 #6 oi mbona huelezei hiyo ajali waliumia Kivipi? aliwangonga Ngozi au Mifupa au Viungo .nk Elezea fresh au ndio mwandishi makanjanja
oi mbona huelezei hiyo ajali waliumia Kivipi? aliwangonga Ngozi au Mifupa au Viungo .nk Elezea fresh au ndio mwandishi makanjanja
kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,750 594 Jun 19, 2012 #7 halafu akamweka mama mbele na binti akamweka nyuma kabla hajawakimbiza hosp. na baskeli yake.
kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,750 594 Jun 19, 2012 #8 kisha mama akamweka mbele na binti akamweka nyuma kabla ya kuwapeleka hospitali na bike yake.
ngulinho JF-Expert Member Jun 13, 2011 405 97 Jun 22, 2012 #9 kookolikoo said: kisha mama akamweka mbele na binti akamweka nyuma kabla ya kuwapeleka hospitali na bike yake. Click to expand... he he he he ameipata hiyo...!
kookolikoo said: kisha mama akamweka mbele na binti akamweka nyuma kabla ya kuwapeleka hospitali na bike yake. Click to expand... he he he he ameipata hiyo...!
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jun 26, 2012 #15 Mheshimiwa Spika, kuhusu utaratibuuu.......... Man KKK amekiuka Kipengele cha 64 cha kanuni zetu.
L lutolucy Member Jun 8, 2012 12 2 Jun 26, 2012 #16 grafani11 said: Mheshimiwa Spika, kuhusu utaratibuuu.......... Man KKK amekiuka Kipengele cha 64 cha kanuni zetu. Click to expand... Kinasemaje? Tafadhari kisome!!
grafani11 said: Mheshimiwa Spika, kuhusu utaratibuuu.......... Man KKK amekiuka Kipengele cha 64 cha kanuni zetu. Click to expand... Kinasemaje? Tafadhari kisome!!
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jun 26, 2012 #17 Lazima utakuwa dhaifu. Umejiunga na bunge letu bila kujua kanuni?
Emma. JF-Expert Member Jun 25, 2012 19,935 5,558 Jun 26, 2012 #18 Alikuwa na pepo anatakiwa kuombewa!