Jamaa aliyetaka kujirusha kutoka ghorofa ya 8 ktk hotel ya hyatt regency (ex-kilimanjaro)

Igangilonga

Senior Member
Mar 11, 2006
133
27
Magic FM walitangaza tetesi kuwa kuna mtu alikuwepo ghorofa ya 8 katika hotel ya Hyatt Regency (ex-Kilimanjaro) na alikuwa anataka kujirusha iwapo hataonana na kuongea na IGP Mwema in person. Kuna anaejua kilichoendelea baada ya hapo? Kama alifanikiwa kumpata IGP au alijirusha au.......?
 
Back
Top Bottom