Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,589
- 9,326
- Thread starter
- #21
may b ata unaeza kuta mshkaji alikua seduced, ukichangia na alikua tungi, xo mkewe amsamee tu, na pia mshkaji kwa kweli ajipange upya, so vizur ata kidogo, embu mshkaji ajiulize ingekua vp kamkuta mkewe kagawa nje? haifai 4 sure
Nimemsema sana mshkaji na anakiri kukosea, tatizo mke ana hasira sana ila inatia moyo kuwa amekubali kukaa kwangu kwa muda, i hope time will heal her heart na wataijenga ndoa yao, sijisikii amani ninapoona ndoa zinavunjika ujanani kwani tunajenga taifa la kihuni. Imagine mwanamke wa miaka 28 ataolewa na wangapi mpaka afike 50?