Jama serikali yawa na nia yakufungua zahanati kwa babu

mseseve

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
511
89
Kuna habari za kuaminika zasema kwamba baada ya babu wa loliondo kuuza dawa yke kwa sh500 then na watu wengi wakaitikia wito huo na hata kutoka nchi za mataifa kuja tz kunyw kikombe kwa bei ya kutupa serkal imeona inapoteza mapato mengi sana kw kuwaruhusu watu wa nje kunyw kw bei hiyo sasa imeamua kwenda kujenga hospital loliondo na pia kuwapeleka TRA waka colect tax kw yeyote yule atakaekwnda kunywa kikombe.hii mwaionaje waungwana imekaa njema au ndo mambo ya siasa na kutaka kupanua wigo wa ufisadi
 
Back
Top Bottom