Jakaya,mbowe,lowasa na zito lao moja.

Handsome

Member
Jul 5, 2011
86
4
Katika pitapita zangu bimepata taarifa z kutosha kabisa kuwa vingunge hapo juu ni kitu kimoja na mkakati endelevu unasukwa ili kurahisisha kumkabidhi Mh.Lowasa nchi mapema 2015,Mbowe na Lowasa na Kikwete lao moja since 2005 kwani taarifa za zinadai kuwa mh.Mbowe alikubali akitoswa Jk aende Chadema agombee huko,wadau ver kindly,nahisi Ukombozi wa kweli Tanzania bado sana kama tuu hizi Taarifa ni za Kweli,nakaribisha maoni,
 
Katika pitapita zangu bimepata taarifa z kutosha kabisa kuwa vingunge hapo juu ni kitu kimoja na mkakati endelevu unasukwa ili kurahisisha kumkabidhi Mh.Lowasa nchi mapema 2015,Mbowe na Lowasa na Kikwete lao moja since 2005 kwani taarifa za zinadai kuwa mh.Mbowe alikubali akitoswa Jk aende Chadema agombee huko,wadau ver kindly,nahisi Ukombozi wa kweli Tanzania bado sana kama tuu hizi Taarifa ni za Kweli,nakaribisha maoni,
Ninasema hivi sio lazima wote tupost jamvini. source
 
yawezekana ikweli maana kwa taifa maskini kama letu kuwepo na siasa za vyama vingi ni hasara kwa taifa,uongeza mianya ya kifisadi kwa visingizio mbalimbali na senema za hapa na pale.mwaka 1992 tulipoamua kujiingiza katika mfumo huu hatukuwa sawa yawezekana ilikuwa ni uoga na hofu tu kutoka nje tuliokuwa nayo,sasa tapata miaka 20 tangu kuingia katika mfumo huu.Kiukweli taifa lolote lenye msingi imara ni lile tu ambalo lina chama kimoja tu cha siasa ambacho kimeundwa kwa sheria/katiba yake yenye meno makali sana juu ya wale wote wanohujumu ama kuchezea rasilimali za taifa hilo ambapo ikithibitika hakuna mjadala ni adhabu kali.Pengine wakuu hawa wa vyama wafike mahali waache ubinafsi,uroho wa madaraka na nafasi walizonazo waje na mbinu mpya ya kisasa ya kuunganisha vyama vyao kwanza ili siku zijazo waungane na CCM kuushangaza ulimwengu ukizingatia kwamba kadi za (TANU& ASP) CCM bado wanazo hawajazirudisha.Pengine tufike mahala tuwaulize hawa viongozi wa vyama kama kadi za chama chao kilichowalea walikwishazirudisha? na upande wa pili tuwaulize viongozi wa CCM kama kuna yoyote yule katika viongozi wa vyama vya siasa waliyekwisha pata kadi yake.Maana tusije tukawa na viongozi wa vyama ambao wana mdimi mbili,yatupasa kuchagua rangi moja tu maana hizi nyingine zinaumiza macho.Tanzania ya kweli ni ile yenye chama kimoja kikubwa cha siasa,sheria kali za kulinda amali ya jamii,uajibikaji,ustahimilivu,ujasiri wa vingozi,huruma (hofu ya mungu),upendo,amani,maendeleo endelevu na ustawi wa jamii isiyo kuwa na adui maradhi,ujinga,umaskini na utegemezi katika shibe.CHAMA KIMOJA CHA SIASA TANZANIA KINAWEZEKANA,WINGI WA VYAMA SI MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU.
 
Nahisi wewe ni gamba. Tena gamba lililokauka.... Gambaaaaaaaaaaaaaaa tangu lini maji yakajichanganya na mafuta ya taa???
 
yawezekana ikweli maana kwa taifa maskini kama letu kuwepo na siasa za vyama vingi ni hasara kwa taifa,uongeza mianya ya kifisadi kwa visingizio mbalimbali na senema za hapa na pale.mwaka 1992 tulipoamua kujiingiza katika mfumo huu hatukuwa sawa yawezekana ilikuwa ni uoga na hofu tu kutoka nje tuliokuwa nayo,sasa tapata miaka 20 tangu kuingia katika mfumo huu.Kiukweli taifa lolote lenye msingi imara ni lile tu ambalo lina chama kimoja tu cha siasa ambacho kimeundwa kwa sheria/katiba yake yenye meno makali sana juu ya wale wote wanohujumu ama kuchezea rasilimali za taifa hilo ambapo ikithibitika hakuna mjadala ni adhabu kali.Pengine wakuu hawa wa vyama wafike mahali waache ubinafsi,uroho wa madaraka na nafasi walizonazo waje na mbinu mpya ya kisasa ya kuunganisha vyama vyao kwanza ili siku zijazo waungane na CCM kuushangaza ulimwengu ukizingatia kwamba kadi za (TANU& ASP) CCM bado wanazo hawajazirudisha.Pengine tufike mahala tuwaulize hawa viongozi wa vyama kama kadi za chama chao kilichowalea walikwishazirudisha? na upande wa pili tuwaulize viongozi wa CCM kama kuna yoyote yule katika viongozi wa vyama vya siasa waliyekwisha pata kadi yake.Maana tusije tukawa na viongozi wa vyama ambao wana mdimi mbili,yatupasa kuchagua rangi moja tu maana hizi nyingine zinaumiza macho.Tanzania ya kweli ni ile yenye chama kimoja kikubwa cha siasa,sheria kali za kulinda amali ya jamii,uajibikaji,ustahimilivu,ujasiri wa vingozi,huruma (hofu ya mungu),upendo,amani,maendeleo endelevu na ustawi wa jamii isiyo kuwa na adui maradhi,ujinga,umaskini na utegemezi katika shibe.CHAMA KIMOJA CHA SIASA TANZANIA KINAWEZEKANA,WINGI WA VYAMA SI MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU.
Gamba linapigia kampeni chama chao cha magamba. Mkuu linda unapika wako bwana
 
Back
Top Bottom