Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
- Thread starter
- #21
sina doubt na credibility ya nishani ya Mo, timu inayofanya hiyo kazi ya uteuzi sio ya mchezo ni watu makini, koffi annan, ketumile masire (botswana), salim ahamed salim (tz) na wengine siwafahamu. Vigezo ni pamoja na kuachia madaraka kwa hiari, kuongoza nchi ktk misingi ya kidemokrasia ya kufuata utawala wa sheria. Walio wahi kushinda ni pamoja na mandela, chisano, na mogae