Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,468
"Safari hii rushwa ilitumika vibaya sana kiasi cha kukitia aibu chama chetu. Namna bora ya kurejesha imani hiyo ni kufuta baadhi ya matokeo ya jumuiya, mikoa na wilaya, vinginevyo tutakuwa na wakati mgumu sana" by JK in TanzaniaDaima 31/10/2012. "Rushwa nje nje wazazi CCM" in Mwananchi 31/10/2012.
Kumbe JK ana mitizamo miwili juu ya rushwa. Kwake yeye kuna rushwa inayotumika vibaya au vibaya sana na vizuri au vizuri sana. Hii ambayo inaendelea kutumika kwenye chaguzi za CCM anasema imetumika vibaya sana au kwa fujo mno mpaka kuoneka kwa wazi na wananchi wote na hata nje ya Tanzania. JK anapenda rushwa inayotumika vizuri sana, sasa naomba atupatie mifano hai ya rushwa iliyotumika vizuri sana au bila kuonekana na kuleta manufaa kwa wanachi walio wengi!
Kumbe JK ana mitizamo miwili juu ya rushwa. Kwake yeye kuna rushwa inayotumika vibaya au vibaya sana na vizuri au vizuri sana. Hii ambayo inaendelea kutumika kwenye chaguzi za CCM anasema imetumika vibaya sana au kwa fujo mno mpaka kuoneka kwa wazi na wananchi wote na hata nje ya Tanzania. JK anapenda rushwa inayotumika vizuri sana, sasa naomba atupatie mifano hai ya rushwa iliyotumika vizuri sana au bila kuonekana na kuleta manufaa kwa wanachi walio wengi!