STEPHEN JR
Member
- May 21, 2011
- 14
- 3
Wana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
yaaani Kikwete huyu wa msogo ndio kamwambia Nape vuvuzela kuwa ni msaliti wa chama chake / pse nijuze habari hiiWana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
Wana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
kipofu akianguka kwenye shimo ujue ni mbishi anajua hana macho anakubali kwend peke yake au kuongozwa na vipofu wenzake.
Wana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
Wana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
Watoa thread za hovyohovyo nawajaza kwenye ignore list kama FF, nakupa thread moja tuu kujirekebisha otherwise nitakuwa sina access na thread zako. Huu ndo mwarobaini wangu wa kukwepa BanWana JF Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi anapomwambia Nape kuwa ni msaliti wa chama chake je kikwete amesahau majukumu aliyompa Nape au ndo kigeugeu?
Kamuulize aliyemnunulia Suti 5