Jakaya Kanikosha kidogo

Taryx Lambat

New Member
Apr 11, 2012
1
0
Nimefurahishwa na Hotuba ya Rais aliyoitoa jana wakati akiwaapisha Wajumbe wa TUME ya kukusanya maoni juu ya katiba ya Nchi, hii inaashiria kelele au hoja zinazoibuliwa na Wapinzani zina nguvu
 
Back
Top Bottom