Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Mswada wa Sheria ya kupitia/kutengeneza katiba mpya nchini utakaowasilishwa bungeni umeridhiwa
na Rais Kikwete uende jinsi ulivyo sababu anajua utapingwa kila kona, vijijini, mashuleni na vyuoni,
vijiweni, sebureni na vyumbani, bungeni, maofisini, kwenye vyombo vya usafiri, Mahotelini
na kwenye vilinge vya pombe,kwenye TV, Magazetini, hapa hapa Jamii forums etc.
Huku akiwa anajua kwamba utapingwa vilivyo ndani na nje ya nchi, pia anajua kwamba mswada
huo utapitishwa (labda ukiwa umefanyiwa marekebisho madogo madogo ya lugha) kwa kishindo
kwa sababu ya wingi wa Wabunge wa CCM.
Yeye Mwenyewe, Jakaya, bingwa wa usanii nadhani kuliko marais wote waliopo sasa duniani, hatasign mswada huo ili uwe sheria aslani, na safari hii amejiandaa kulishangaa hata bunge kwa
kupitisha mswada ambao unapingwa na jamii nzima, atasema na yeye hakubaliani nao.
Yes Kama alivyopinga kulipwa kwa Dowans huku akiwa ndio hasa aliyetoa maelekezo ya kuanza
mchakato wa Malipo atarudia ile ile.subirini muone.
na Rais Kikwete uende jinsi ulivyo sababu anajua utapingwa kila kona, vijijini, mashuleni na vyuoni,
vijiweni, sebureni na vyumbani, bungeni, maofisini, kwenye vyombo vya usafiri, Mahotelini
na kwenye vilinge vya pombe,kwenye TV, Magazetini, hapa hapa Jamii forums etc.
Huku akiwa anajua kwamba utapingwa vilivyo ndani na nje ya nchi, pia anajua kwamba mswada
huo utapitishwa (labda ukiwa umefanyiwa marekebisho madogo madogo ya lugha) kwa kishindo
kwa sababu ya wingi wa Wabunge wa CCM.
Yeye Mwenyewe, Jakaya, bingwa wa usanii nadhani kuliko marais wote waliopo sasa duniani, hatasign mswada huo ili uwe sheria aslani, na safari hii amejiandaa kulishangaa hata bunge kwa
kupitisha mswada ambao unapingwa na jamii nzima, atasema na yeye hakubaliani nao.
Yes Kama alivyopinga kulipwa kwa Dowans huku akiwa ndio hasa aliyetoa maelekezo ya kuanza
mchakato wa Malipo atarudia ile ile.subirini muone.