Elections 2010 Jaji Werema jiuzulu, umevunja katiba

Hapa unachanganya mambo. Kama kweli ni mtu uliyesoma na jaji Wererema basi utakuwa umefanya kazi muda wa kutosha. Hivyo utakubaliana na mimi kuwa wapo watu ambao ufanisi wao wanapokuwa kazini hutofautiana sana na jinsi alivyokuwa shuleni.

Sina nia ya kuchambua uwezo wa AG wetu ila nnachotaka kusema tujiepushe na mawazo kuwa vipanga wote huja kuwa watendaji wazuri au kinyume chake.

Ni hayo tu mkuu

Ukitenda mema wataku-jaji kwa mema uliyotenda. nafikiri hujaelewa vizuri motion:tape::tape::tape::tape:
 
I dont want to imagine that the Hon Attorney General could not find a better and beffiting word than the word nonsensical. I dont want to believe that a judge of the High Court can utter such nasty words while talking to the press for digestion of the ordinary wauza maandazi. Lawyers are very much known for their humble, modest, inviting, welcoming and friendly english.

Ni kweli mfano unprocedural, unconstitutional,
 
yule jaji toka alipochaguliwa hajui sheria anababaisha tu kama jk

hana lolote

nashukuru kwa kuwa siwatambui
 
“I think the law is clear about complaints related to election issues, everything should be challenged in court. I think and believe that it is nonsensical not to recognise the elected Head of State,” said Judge Werema in a telephone interview with The Citizen We don

Kwanza Jaji Werema hazijui vizuri sheria za nchi halafu eti ndio mwanasheria mkuu wa serikali. sentenso hii 'I think' ina maanisha mtu hana uhakika; hivyo Werema hana uhakika na anachokisema: kama mwanasheria alitakiwa kusema 'it is stated that .... in the contstitution, election law 2010' na kutoa ufafanuzi kuhusu kukinzana kwake na kama kuna ukinzano ipi inashika hatamu (which one prevails?)

Kwa kuwataka Chadema waende mahakamani ni kutoa ushauri wa kuvunja katiba yaani Werema hakifahamu kifungu cha katiba 41(7). Na majuzi ameapa kuilinda, kuifuata na kuitete katiba, sasa inakuwaje leo hailindi, haitetei na haifuati?

Pia kuwatukana viongozi wa Chadema On the Chadema’s stand over President Kikwete’s win, Judge Werema said Chadema’s decision was ‘nonsense’. (Ni mawazo na msimamo wa kijinga na kipumbavu kutomkubali Rais) Daily Nation:*- Africa*|Party rejects Kikwete poll win

Werema badala ya kujibu hoja anatoa matusi; alitakiwa kuongelea kupingwa kwa matokeo na sio kutomtambua Rais, bosi wake, aliyemteua na kumwapisha mara baada ya yeye, JK, kuapishwa . Hii inaonesha namna gani anaendeshwa au ni lapdog au ndio mwendelezo wa watendaji wabovu wa JK. Na matusi ya aina hii yatajaa magunia na mapipa ifikapo 2015!

Cha kushangaza baada ya Werema kustaafu na kwa muda utamsikia katiba mbovu kama walivyosema akina Warioba!!!!!!

Hapa vumbi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
yule jaji toka alipochaguliwa hajui sheria anababaisha tu kama jk

hana lolote

nashukuru kwa kuwa siwatambui

ni ajabu kuwa aliwezaje kufika ngazi ya ujaji kwa upeo wake wa sheria unaoonekana mdogo sana kama Chenge
 
Mwanamayu na wengine,

Mwenzenu sijasoma sheria na katiba sijawahi kuisoma yote ila vifunguvifungu.

Mengi najifunza hapa ndani kutoka kwa Wanasheria na walioipitia Katiba.

Nimekuwa nikisikia siku zote kuwa "NEC wakitangaza matokeo basi ndiyo imetoka." Na hii ndiyo katiba yetu inavyosema. Ili kuliwahi hilo, Chadema waliwaandikia NEC wasitangaze matokeo. NEC mwanzo walijibu kuwa wanasubiri barua ya malalamiko kutoka kwa Chadema. Walipoipata, wao wakaendelea kutangaza matokeo.

Niliposoma maelezo ya AG, nilishangazwa sana maana kumbukumbu yangu iliniambia "ikitangazwa, imetoka". Sasa huyu AG anasema "Chadema waende Mahakamani...mhhhh!!!!!" Ila kwa sababu mie sheria zimenipitia kushoto, sikutaka kujigamba mbele ya Wagambirwa na mwisho wa siku unaangukia Pua. Sasa ndiyo nakuja kuthibitisha kuwa AG alichemsha. Ni kichekesho kikubwa maana hata mie ambaye sikusoma sheria na hasa hizi za uchaguzi, katika kipindi kama hiki kwa jambo hili ambalo limeifanya nchi iwe katika hali tete, unakuwa hujui vifungu vya sheria vinasemaje.

Swali langu la Kwa Wanaheria au mnaoifahamu sheria/katiba vizuri:
1. Kama Jaji Makame na kundi lake wametangaza matokeo wakati Chadema waliwaandikia wasitishe kwanza, sheria inasemaje?
2. Kwa kubadilisha matokeo na kutangaza matokeo tofauti na ya kituoni, haiwezekani kumshataki Jaji Makame?
3. Kama kuna sheria inayowabana watu wasiibe au kudanganya wakati wa uchaguzi, Makame kwa hili si Kadanganya?
4. Usalama wa Taifa walioshiriki kuchakachua kama wanafahamika, wanaweza pia kupandishwa kizimbani?

Najua kumshitaki AG ni ngumu maana yeye kasema ila hakufanya. Anaweza kusema "alikosea". Ila hawa UWT na Makame, kama kuna uwezekano basi hawa ndiyo wa kufikisha Mahakamani kwa kuvunja sheria za uchaguzi na KUIBA KURA.
 
Kwani Chadema hawawezi kumshitaki kwa hilo tusi la NONSENSE au siyo tusi kisheria?

Kumbe huyu jamaa alipata A GENTLEMAN DEGREE halafu anajifanya kuongea kama alimaliza HAVADI. Anyway DEBE TUPU HALIACHI KUVUMA!
 
Ni kweli mfano unprocedural, unconstitutional,

Ningekuwa mimi ningesema: Much as I sympathize with Mr. Slaa regarding his assertion that the elections were not free and fair, there is nothing I can do, as much as there is nothing he can do. We are tied by the law, the law is very clear that, once the results have been announced they cannot be challenged in a court of law as provided for under Article 41 (7) of the constitution. I would humbly advise Mr. Slaa to take recourse to the law and see how this Draconian law can be amended.
 
Kauli zake tangu apewe wadhfa huo si tu kwamba ni za kishabiki (kwa chama tawala) na kijeuri kwa wapinzani bali hazina mantiki yenye kufikirisha. Angemsaidia sana bosi wake kama angekuwa akimkingia kifua kwa hoja zinazotoa changamoto kwa wanaotaka kupinga anachosema (hata kama ni kweli hakikubaliki au uongo). Vinginevyo hana tofauti na akina makamba, hiza, chiligati, n.k. Na kwa mwanasheria mkuu wa nchi kuwa hivyo just adds to the series of tragedies befalling this country. Yaani marais wetu wanashindwa hata kuteua smart lapdogs? :A S angry:
 
Ningekuwa mimi ningesema: Much as I sympathize with Mr. Slaa regarding his assertion that the elections were not free and fair, there is nothing I can do, as much as there is nothing he can do. We are tied by the law, the law is very clear that, once the results have been announced they cannot be challenged in a court of law as provided for under Article 41 (7) of the constitution. I would humbly advise Mr. Slaa to take recourse to the law and see how this Draconian law can be amended.

yes my lord!!!!!
 
Ningekuwa mimi ningesema: Much as I sympathize with Mr. Slaa regarding his assertion that the elections were not free and fair, there is nothing I can do, as much as there is nothing he can do. We are tied by the law, the law is very clear that, once the results have been announced they cannot be challenged in a court of law as provided for under Article 41 (7) of the constitution. I would humbly advise Mr. Slaa to take recourse to the law and see how this Draconian law can be amended.

Siyo Mr slaa ni Dr Slaa umekosea
 
Pass???!!! I wish we can follow the intelligence of all Kikwete appointees...

What's wrong the PASS pass garde. By the way I here even Kikwete graduated with the same thing in his Economics bachelor.
 
this post is so useful, especially the attachment. I have never had a soft copy of the constitution. Now I have. Hata mimi nimesikitishwa na madogo aliyorusha kwa CHADEMA bila kusema wanakiuka kufungun gani cha katiba. Kama mwana sheria alipaswa kuwa muangalifu sana hasa baada ya kula kiapo cha kuilinda na kuitetea katiba ya JMT.
 
First of all, Attorney General Werema whom I studied with at university was not smart at all. I could not fathom how he got there, but any where there is lucky which goes to unqualified ones. He as Attorney general couldn't go in public and clashes press by saying that press complicated the polls by giving high anticipation of winning to Dr. slaa. It is preposterous, he as Attorney General should be neutral and let people air their views. I cannot disagree more with him, but in reality what I recall is that he graduated with pass grade , which is the lowest grade at UDSM

wewe kaka nafikiri una kaushamba fulani hivi.

unafikiri kufaulu mitihani vizuri ndio kujua kazi. umeniudhi kwa maneno yako hapo juu mimi nitakuita hujaelemika na ni mshamba vile.

hata kama simpendi huyu mwanasheria mkuu lakini hapo juu umebore sana. maprofesa wote tunawajua mbona wanagaragazwa kwa kazi ni akina mrema?

usomi wenu huo umeua nchi kwasababu mnafikiri kusoma maanake ni kufaulu mitihani
 
wewe kaka nafikiri una kaushamba fulani hivi.

unafikiri kufaulu mitihani vizuri ndio kujua kazi. umeniudhi kwa maneno yako hapo juu mimi nitakuita hujaelemika na ni mshamba vile.

hata kama simpendi huyu mwanasheria mkuu lakini hapo juu umebore sana. maprofesa wote tunawajua mbona wanagaragazwa kwa kazi ni akina mrema?

usomi wenu huo umeua nchi kwasababu mnafikiri kusoma maanake ni kufaulu mitihani

Kama class/ division hazina maana ziliwekwa za nini? Au na wewe una pass nini?
 
Ndugu The Good,

Hakuna ubishi kuwa ukilaza au uwezo wa darasani unajionesha pia katika mambo yako. Ni muhimu usichanganye suala la mafanikio mitaani na suala la uelewa. Hapa suala linalo ongelewa ni uelewa. Rudi nyuma kidogo na ukumbuke jamaa uliokuwa nao darasani na uchambue uwezo wa IQ zao. Bilieve me uwezo au IQ za mtu hazitarajiwi kubaidrika sana. Kama mtu ni mzito wa kuelewa, mzito wa kuanalyse, n.k. basi hali hiyo itaendelea hivyo labda kwa miujiza. Kama mtu alikuwa mzuri wa kujenga hoja basi usitegemee kama mambo yatabadirika.

Lakini suala la kufanikiwa mitaani hilo ni suala lingine. Siamini kama Jakaya Kikwete alikuwa ni mtu mzuri katika kujenga hoja akiwa shuleni/chuoni tofauti na sasa anaonekana kuwa mtu mzuri wa kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu.
 
Back
Top Bottom