Jaji Werema: CUF wamevunja Katiba

Bila shaka inaonyesha ww uko nje ya znz,hivi unavyosema muungano haram hujawahi kujiuliza nani anafaidi muungao kama sio nyinyi wa znz ambao ubaguzi kwenu ni kama kula,
Namchukia sana Maalim seif ni dikteka tena msaliti mkubwa,leo toka kaingia madarakani sijaona alichofanya znz zaidi ya kunywa chai ikulu na kuwageuka wenzake waanzilishi wa cuf,kulikuwa na tatizo gani kwa HR kugombea ukatibu? Chama cha kiimla kabisa hiki hakina tofauti na ccm,toka nasoma Primary mimi Katibu mkuu Maalim seif na Mwenyekiti ni Lipumba,ina maana hakuna wengne wenye sifa za kuongoza cuf mpaka hawa jamaa,hawana mvuto kisiasa tena lakini hawako tayari kuachia madaraka,poleni ndio mnakwenda kaburini pamoja na mme wenu ccm


Uwe ndani au hata nje ya Tz au Zanzibar lakini kisheria uharamu unazidi kuwa pale pale.

Sasa niambia Je hati hiyo ya muungano wenu iliyopitisha kwa hati ya dharula na Bunge la muungano. je ni lini iliridhiwa na baraza la wawakilishi ili iwe sheria kwa upande wa Znz?

Jibu hoja na si kumshambulia mtu.

Mimi toka nazaliwa mpaka namaliza Chuo kikuu Nyerere alikuwa rais itakuwa maalim seif. Kumbuka kuna taratibu za kubadilishana uongozi katika chama na zimeainishwa wazi katika katiba na kaanun zao. Ilimpasa Hamad Rashid azifuate na sio kuleta chochoko. Kama mlimtuma au alikuwa padikizi lenu basi kashafukuzwa na hatakiwi tena.

Chama kinaendeshwa na katiba na kanuun na sio vyombo va habari

nakupa pole
 
werema mnafiki,badala ya kuongelea mgombea binafsi,anaongelea kubadilisha sheria ya uchaguzi/vyama vya siasa kutofukuza wabunge,..target yao ni kutaka mapandikizi yao kama shibuda na wengineo kutofukuzwa...

Naunga mkono hoja-suruhisho ni kuwa kama malawi raisi/mbunge/diwani anaweza akahama chama au kufukuzwa uanachama akabaki na cheo chake.
 
Jaji Werema, Selina Kombani, Sophia Simba, na Wassira ni Wateule wa JK ambao wanaongoza kwa uvilaza. Uelewa wao unafaa kuongoza chama cha magamba ngazi ya shina! Kwa hiyo hata siku moja sitegemei kauli ya msingi kutoka kwa Werema kama ilivyo kwa wengine niliowataja!
 
Huyu werema sina imani naye kabisa kama mwanasheria wa serikali!kwanza sidhani kama anaijua sheria vizuri!hvi utamnyoosheaje mwenzako kidole kuwa ni chongo ilhali na wewe unajicho moja?aache unafiki na kujifanya mwelewa kuliko wengine wanaojua sheria na katiba ya nchi kiundani!aheshimu katiba zilizoundwa na vyama pinzani kama anavyoheshimu katiba za chama chake!mfu wa mitazamo.
 
Nafikiri wengi huko Tz hawajui mipaka ya sheria zenu na hata muungano wenu.

Hakika Werema hana mamlaka yoyote Znz. Mamlaka yake mwisho kigamboni tu. Zanzibar ni nchi na ina mwanasheria wake mkuu na waziri wake wa sheria.

Hivyo ni vizuri kumuuliza mwanasheria mkuu wa Znz kuhusu suala hilo na sio werema. Kwani mkutano ulifanyika Znz na sio Bara.

Ni vizuri mjue mipaka ya werema na sio kumnasibisha na Znz.

AG Werema ana mamlaka zanzibar kwani yeye ni mwanasheria mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania; Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itasughulikia mambo yasiyo ya kimuungano ya Tanaganyika na mambo ya yaliyo ya Muungano ya Tanganyika na Zanzibar, kwa mantiki hiyo basi mambo ya kisheria ya kimuungano mfano vyama vya siasa Werema anacheza kote bara na Visiwani, ila mwanasheria Mkuu wa Zanzibar hawezi kushughulika na mambo ya vyama vya siasa kwa sababu yale si mambo ya zanzibar bali ni ya kimuungano.
 
Mhe Werema aliapa kulinda katiba.......tunasubiri atafanya nini katiba imevunjwa.... au ndio wale wale !!!
 
Uwe ndani au hata nje ya Tz au Zanzibar lakini kisheria uharamu unazidi kuwa pale pale.

Sasa niambia Je hati hiyo ya muungano wenu iliyopitisha kwa hati ya dharula na Bunge la muungano. je ni lini iliridhiwa na baraza la wawakilishi ili iwe sheria kwa upande wa Znz?

Jibu hoja na si kumshambulia mtu.

Mimi toka nazaliwa mpaka namaliza Chuo kikuu Nyerere alikuwa rais itakuwa maalim seif. Kumbuka kuna taratibu za kubadilishana uongozi katika chama na zimeainishwa wazi katika katiba na kaanun zao. Ilimpasa Hamad Rashid azifuate na sio kuleta chochoko. Kama mlimtuma au alikuwa padikizi lenu basi kashafukuzwa na hatakiwi tena.

Chama kinaendeshwa na katiba na kanuun na sio vyombo va habari

nakupa pole

Jipe pole wewe usiejitambua kwAnza na inaonyesha unaupungufu wa malezi,na utotoni hukupewa nafasi ya kujitambua,na ukitaka kujua hilo soma post ya kwanza uliposema nyinyi huko tz yaani udhaifu wako unajitambulisha kuwa wewe hauko znz yaani uko nje,hakuna aliekuwa na shida ya kujua uko wp,na hii unajitambulisha umemaiza chuo kikuu,labda kwa znz itakuwa ajabu kumaliza chuo kikuu lkn sio kwetu bara,mnapinga muungano kwenye vyombo vya habari magazeti na mitandao,yaani mnaupinga kinafiki ingieni mitaani tuone kweli unawakera,huo umeme tu hamna,na Dar yote mmejaa wapemba tu,vunjeni na mrudi kwenu kama hamtakwenda kushindia madafu na kahawa,sioni nini mtafanya pale,nchi iko hoi kila sehem,
 
Nafikiri wengi huko Tz hawajui mipaka ya sheria zenu na hata muungano wenu.

Hakika Werema hana mamlaka yoyote Znz. Mamlaka yake mwisho kigamboni tu. Zanzibar ni nchi na ina mwanasheria wake mkuu na waziri wake wa sheria.

Hivyo ni vizuri kumuuliza mwanasheria mkuu wa Znz kuhusu suala hilo na sio werema. Kwani mkutano ulifanyika Znz na sio Bara.

Ni vizuri mjue mipaka ya werema na sio kumnasibisha na Znz.

hapo kwenye RED! ndugu yangu inaonesha wewe katiba ya JMT huijui yaani huo mkutano hata ungefanyika Makka bado maamuzi yake yatajadiliwa na katiba ya JMT na wala si katiba ya zanzibar kwa sababu mambo ya vyama vya siasa si miongoni mwa mambo ya Zanzibar wa Tanganyika ni mambo ya kimuungano hivyo mtu mzuri wa kuulizwa ni yeye AG. Werema kwa sababu yeye ndiye mwanasheria mkuu wa JMT. Hebu pata vipande hivi vya katiba ya JMT Ibara ya 59 (1),(3) Pamoja na orodha ya mambo ya Muungano(anagalia namba 22 kwenye Red) ili uelimike kidogo
59​
.-(1) Kutakuwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaJamhuri ya Muungano ambaye katika ibara zifuatazo za Katiba hiiatatajwa tu kwa kifupi kama "Mwanasheria Mkuu" ambaye
atateuliwa na Rais

(3) Mwanasheria Mkuu atakuwa ndiye mshauri wa Serikali yaJamhuri ya Muungano juu ya mambo ya sheria na, kwa ajili hiyo,atawajibika kutoa ushauri kwa Serikali ya Jamhuri ya Muunganokuhusu mambo yote ya kisheria, na kutekeleza shughulinyinginezo zozote zenye asili ya au kuhusiana na sheriazitakazopelekwa kwake au atakazoagizwa na Rais kuzitekeleza,na pia kutekeleza kazi au shughuli nyinginezo zilizokabidhiwa​
kwake na Katiba hii au na sheria yoyote.


(Imetajwa katika ibara ya 4)Mambo ya Muungano​
1. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2. Mambo ya Nchi za Nje.
3. Ulinzi na Usalama.
4. Polisi.
5. Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6. Uraia.7. Uhamiaji.8. Mikopo na baiashara ya Nchi za Nje.
9. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika,ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwanchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11. Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta nasimu.
12. Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili yamalipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamojamabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki;fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusikana fedha za kigeni.
13. Leseni ya viwanda na takwimu.
14. Elimu ya juu.
15. Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa yamotokaa na mafuata ya aina ya petroli na aina nyinginezo zamafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16. Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yoteyanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17. Usafiri na usafirishaji wa anga.
18. Utafiti.
19. Utafiti wa hali ya hewa.
20. Takwimu.
21. Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22 . Uandikishaji wa Vyama vya siasa na Mambo mengine
yanayohusiana navyo.
 
werema.jpg

...Aungana na Tendwa
Awali, Jaji Werema aliungana na kauli iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa kutaka kufanyike marekebisho ya sheria ili vyama vya siasa visiwe na mamlaka ya mwisho kumfukuza mbunge

.........hawa wateule bwana, haihitaji akili za ziada kujua kwamba wako kwenye fani sanaa (kuigiza wanayosema), ndio hawa walioikatia rufaa sheria ya mgombea binafsi, wakaifungia kibwebwe, hawakuitaka, sasa leo wanataka kutuambia nini, kwanza washukuru bila hekima za wazee wa cdm, yumkini hata huyu anayeitwa Shibuda angekuwa mbunge wa ama mahakama au wa kulelewa na Spika
 
Japo sijapenda CUF kumfukuza uanachama HR lakini kitendo cha hawa wenye mamlaka kuanza kupiga kelele si dalili nzuri kwake

Inawezekana CCM ilipanga kuivunjavunja CUF kupitia kwa HR au wale wote wasioipenda Zanzibar hasa muafaka wengi wao ni wale wa dini ya kushoto..

CUF na wananchi wa Zanzibar kuweni waangalifu na CCM na wale watu wa dini ya kushoto hawafurahii kabisa mpewe nchi huru kutoka kwa mkoloni wa Tanganyika
 
Wamerudia ulichofanya bungeni wakati wa rasimu ya katiba.....warema ww unajua lip?shivj aliwahi sema wewe(werema) ni mmoja wapo wa wanafunz ambao hawakuelewa darasani..
 
Back
Top Bottom