Jaji werema anachangia hoja ya wizara ya mambo ya ndani. Anachofanya ni kuzungumzia hotuba ya mhe g lema aliyoitoa jana. Je amegeuka kuwa waziri wa mambo ya ndani? Yupo live anaongea sasa.
Mwanasheria mkuu kama ilivyo PM anatakwa apewe nafasi ya kutolea ufafanuzi mambo yeyote yanatokea bungeni wizara yeyote ile anapona anahitaji kutolea ufafanuzi.
Hivyo ndivyo ilivyo labda sema alichongea kama kina hoja au hakina hoja. lakini hakuna shida Mwanasheria mkuu akiongelea au akijibu hoja za wabunge zinzohusu wizara yeyote ile
Huwezi kutegemea otherwise, Mwanasheria wa serikali ni part and parcel ya chama tawala na yeye ndiye anayewamislead katika kutoa ushauri wa kisheria. Wananchi wanaweza kupinga uchaguzi na malaka iliyopo kwa maandamano. Ona Misri na Tunisia.
Hizo ni kindergaten theories kwani hajui kuwa kuna practical theories ambazo yeye, Nahodha na Saidi wananweka kuvua kofia zao na kuungana na waandamanaji
Amesema eti anaangalia uwezekano wa ku-regulate haki ya Maandamano.Leo Mwanasheria mkuu Ameamua kuonyesha msimamo wake kwa kuiponda CHADEMA juu ya maandamano na akatoa ufafanuzi wa Kisheria kuwa matokeo ya uchaguzi yanapingwa kwa kupelekwa mahakamani na SIYO kwa Maandamano.Ila Ameshindwa kutoa ufafanuzi wa kisheria inasema vipi juu ya Maandamano.
Nawasilisha
Je alikata rufaa?. Werema ameshindwa kuwasilisha vielelezo kwa mtuhumiwa wa Richmond- GILE bin Kuchi- kuchi Hotaye, sasa hivi yuko HURU anakula kuku kwa mrija. Kunauwezekano kabisa Werema kala Deal -kapata mgao wa mauzo ya Dowans kwa Symbion power. Mheshimiwa Wenje kawaeleza ukweli.nakumkumbusha mwanamke aliyemhukumu kifo Makambako!
Ni swa kabisa mkuu kama ulivyoeleza.
Tatizo langu kwa "poti" ni kwamba amejaa umagamba zaidi kuliko uansheria.
kazi kweli!Amesema eti anaangalia uwezekano wa ku-regulate haki ya Maandamano.
Amesema eti anaangalia uwezekano wa ku-regulate haki ya Maandamano.
Huyu mwanasheria keshalewa "ulevi" wa Magamba, hajui kwamba huwezi pinga matokeo ya kura za Urais mahakamani?? Ndio huyu huyu alisema tulipe dowans hatuweza kata rufaa mahakamani!! Hawa jamaa sijui wakienda CCM "akili" zao sijui wanaacha wapi!