CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Mheshimiwa Jaji Warioba,
Tunakuomba usiwachagulie waTanzania nini cha kuongea katika kutoa maoni yao. Kwa nini hutaki madaraka ya rais yazungumzwe. Kama tulivyotabiri, you will never be impartial you being a staunch product of CCM from time immemorial!!! Actually matatizo yote iliyonayo Tanzania yanatokana na madaraka makubwa aliyonayo Rais ambaye huwe ku-question deeds zake at all levels. Watanzania , hapa hakuna katiba mpya kama mratibu mkuu anaaza kuwa na kauli hizi.
Tunakuomba usiwachagulie waTanzania nini cha kuongea katika kutoa maoni yao. Kwa nini hutaki madaraka ya rais yazungumzwe. Kama tulivyotabiri, you will never be impartial you being a staunch product of CCM from time immemorial!!! Actually matatizo yote iliyonayo Tanzania yanatokana na madaraka makubwa aliyonayo Rais ambaye huwe ku-question deeds zake at all levels. Watanzania , hapa hakuna katiba mpya kama mratibu mkuu anaaza kuwa na kauli hizi.