Jaji Warioba: Mchakato wa Katiba ukianza nitatoa ya Moyoni

Chonde Chonde!!! Mhe. Rais Magufuli!!! Katiba ni maoni yetu wananchi, tafadhali mchakato uanze na yale maoni yetu tuliyoyatoa wakati Mzee Warioba alipotutembelea kuomba maoni! Hivi muda na fedha zilizotumika kuzunguka nchi kutafuta maoni yetu wananchi ni za mchezo????? Rais wetu hapendi matumizi mabaya ya kodi za Watanzania. Namshauri Mhe. Rais aanze na Katiba ya Warioba na siyo Katiba Pendekezwa!!! Vinginevyo hakukuwa na maana ya kupoteza fedha zote hizo na muda wa wananchi kutoa maoni ya Katiba. Naamini Rais wetu ni msikivu!!!
 
Magufuli hana jema zaidi kwa watanzania zaidi ya kuleta katiba tunayoihitaji kwa mustakbali wa taifa letu hata afanye mazuri kiasi gani
 
Unafiki unamsumbua, hana jipya zee hilo atulie aendelee kuvuta matumbaku yake na gongo
 
Urafiki wa Mashaka baina ya Jaji Warioba na Chama chake cha CCM uliofufuka kipindi cha Uchaguzi Mkuu unaweza kuingia dosari baada ya Jaji huyo mstaafu kusema iwapo serikali itaanza mchakato wa kumalizia katiba atatoa yake ya moyoni. Mwananchi linaripoti.
Baada ya waziri wa sheria Dr.Mwakyembe kueleza kuwa John Magufuli amemuagiza aendelee na mchakato wa katiba pale ulipoishia, Jaji Warioba amehifadhi yake ya Moyoni lakini atayatoa.
YANGU YA MOYONI:-
Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Katiba hawana tena credibility ya kutusemea.Kuna H.Polepole, Butiku na Warioba mwenyewe, wapige kimya tu.

Natamani Kumsema vibaya huyu mzee ila ... napotafakari kwa mara ya pili nagundua nitakuwa sijamtendea haki, kwani anachokifanya ni kile ambacho hakukifanya kwa miaka mingi ya ueledi wake wa kulitumikia taifa, na chama chake bila ufisadi... lakin ss amekuja kugundua ndani ya CCM hata uote mabawa kama malaika na kushinda njaa mwaka mzima huku ukiwatumikia kwa uadilifu uliotukuka hakuna atakaekuthamin na kukumbuka kwa mazuri hayo bali watakachokifanya ni kuendelea kukutumia na kukugeuzwa mtumwa wa hao wachache waliohodhi chama na serikali kwa ujumla na wakiona unaanza kuingilia maslah yao watakuthibit hata kwa vichapo.

so sasa mzee baada ya kuona amechelewa kujilimbikizia mali baada ya kuamua kuw muadilifu kipind chake ameamua kukubali kuendelea kutumika ili mradi wanae wapate nafasi huko wakapige pesa ili kama kina Riz maprosoo, walau baba ale mema ya nchi kupitia upande wa pili.


kwa sioonielewa ni kuwa mazee anafanya haya kuchumia familia mana kashaona kina mkwere na mgosi makamba.. walivyocheza karata zao vizur katika kuzipenyeza familia zao kwenye ngazi a kiutawala ili waendelee kupokezana vijiti vya kula asal ya nchi kutoka kwa babu had mjuukuu..

ALIANZA BABU HAAAD MJUKUUU AMEPATA
 
Back
Top Bottom