Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Hakika JUSSA anawakosesha usingizi waTanganyika na hata kumuona ni mwiba mkuu.
Hongera sana Jussa hakika wewe ni kichwa.
Hata kichwa cha mwendawazimu nacho ni kichwa!
Hakika JUSSA anawakosesha usingizi waTanganyika na hata kumuona ni mwiba mkuu.
Hongera sana Jussa hakika wewe ni kichwa.
Mtu wa Pwani,
..usije ukasema we did not tell u about this.
..sisi wengine kwa muda mrefu sana tumekuwa tukisema hapa JF kwamba muungano hauwafai wa-ZNZ.
..kwamba mnachohitaji wa-ZNZ ni uhuru kamili na kama ni mashirikiano na Tanganyika basi iwe kupitia EAC,SADC, etc.
..Mh.Jussa awe mkweli tu kusema kwamba wanachotaka wao ni mkataba na Tanganyika. mkataba huo unaweza kuwa ktk masuala ya ulinzi na usalama, au uhamiaji etc.
..hili suala la kusema eti "muungano wa mkataba" ni ujanja-ujanja tu wa kuficha nia ya kuvunja muungano.
..sielewi kwanini Jussa anasita kutamka kwamba muungano uvunjwe, badala yake anajificha nyuma ya kauli mbiu ya "muungano wa mkataba."
Baada ya miaka 300, Wascottish yamewatosha. Cameroon amekubali yaishe. Bofya link
kilataifakubebamzigowakeaaha
FJM,
..binafsi naamini Jussa na kundi lake wamejipanga, na wanakwenda vizuri tu ktk malengo yao ya kuuvunja muungano.
..wameweza kupandikiza chuki miongoni mwa wa-Zanzibari dhidi ya wa-Tanganyika. kama huamini tembelea www.mzalendo.net soma maoni yao, na pia angalia video za mikutano ya UAMSHO.
..hata kama Jussa ameshindwa kutetea hoja yake mbele ya Jaji Warioba, muungano huu hauwezi ku-survive kutokana na chuki[pombe,umalaya,ushoga,ukimwi,ujambazi,madawa ya kulevya..vyote vinatokea Tanganyika] na fitina ambazo Jussa na kundi lake wamepandikiza.
Hakika JUSSA anawakosesha usingizi waTanganyika na hata kumuona ni mwiba mkuu.
Hongera sana Jussa hakika wewe ni kichwa.
Mtu wa Pwani,
..usije ukasema we did not tell u about this.
..sisi wengine kwa muda mrefu sana tumekuwa tukisema hapa JF kwamba muungano hauwafai wa-ZNZ.
..kwamba mnachohitaji wa-ZNZ ni uhuru kamili na kama ni mashirikiano na Tanganyika basi iwe kupitia EAC,SADC, etc.
..Mh.Jussa awe mkweli tu kusema kwamba wanachotaka wao ni mkataba na Tanganyika. mkataba huo unaweza kuwa ktk masuala ya ulinzi na usalama, au uhamiaji etc.
..hili suala la kusema eti "muungano wa mkataba" ni ujanja-ujanja tu wa kuficha nia ya kuvunja muungano.
..sielewi kwanini Jussa anasita kutamka kwamba muungano uvunjwe, badala yake anajificha nyuma ya kauli mbiu ya "muungano wa mkataba."
Wacha hizo, ati pombe,umalaya, ushoga na ukimwi,ujambzi, madawa ya kulevya vinatokea Tanganyika.FJM,
..binafsi naamini Jussa na kundi lake wamejipanga, na wanakwenda vizuri tu ktk malengo yao ya kuuvunja muungano.
..wameweza kupandikiza chuki miongoni mwa wa-Zanzibari dhidi ya wa-Tanganyika. kama huamini tembelea www.mzalendo.net soma maoni yao, na pia angalia video za mikutano ya UAMSHO.
..hata kama Jussa ameshindwa kutetea hoja yake mbele ya Jaji Warioba, muungano huu hauwezi ku-survive kutokana na chuki[pombe,umalaya,ushoga,ukimwi,ujambazi,madawa ya kulevya..vyote vinatokea Tanganyika] na fitina ambazo Jussa na kundi lake wamepandikiza.
Ukiangalia video ya kongamano la jumamosi tarehe 6, utasikia wakisema kuwa muungano wa mkataba wamempa nakala Sheni na Maalimu Seif. Kinyume na hayo hawatakubali maoni ya tume.FJM,
..binafsi naamini Jussa na kundi lake wamejipanga, na wanakwenda vizuri tu ktk malengo yao ya kuuvunja muungano.
..wameweza kupandikiza chuki miongoni mwa wa-Zanzibari dhidi ya wa-Tanganyika. kama huamini tembelea www.mzalendo.net soma maoni yao, na pia angalia video za mikutano ya UAMSHO.
..hata kama Jussa ameshindwa kutetea hoja yake mbele ya Jaji Warioba, muungano huu hauwezi ku-survive kutokana na chuki[pombe,umalaya,ushoga,ukimwi,ujambazi,madawa ya kulevya..vyote vinatokea Tanganyika] na fitina ambazo Jussa na kundi lake wamepandikiza.
Jusa ni kipofu , jusa Tanganyika ikirudi utakuwa upande wa pemba au unguja? usilete siasa za majitaka kwenye masuala ya muungano
Kwani Jaji warioba wanaruhusiwa kuhoji mawazo ya mtu au wanapaswa kuyachukua kama yalivyo na wao wakayachambue. Kumbana Jusa na maswali hata kama hoja yake ni ya kishenzi, Jaji warioba amjidhalilisha kwa sababu hiyo sio kazi ya tume kwa hatua hii.
masopakyindi,Wacha hizo, ati pombe,umalaya, ushoga na ukimwi,ujambzi, madawa ya kulevya vinatokea Tanganyika.
Unajidanganya sana na naona kama unataka kuumbuliwa hapa jamvini.
Kwani unafikiri mabaibui yaliyosheheni wake za watu yanayopita usiku usiku hatuyajui?
Na unataka tumuumbue mama wa kiongozi mkubwa sana ambaye ni fuska wa kutupwa?
Na wizi wa viwanja vya serikali huko Zenj vimefanywa na waTanganyika?
Na je unahabari ya gay sex tourism ya wamarekani wanaoisifia Zanzibar?
Wacha hizo!