masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Mkuu Nonda, huyu Jussa is strongly anti Watanganyika kwa sentiments anazozifahamu mwenyewe.Mkuu
Ungeweka makala yote, ambayo itamwacha mtu kujitafsiria vile apendavyo.
Makala hii link Home
Baada ya kuisoma makala hii. Jussa anasema ukifika wakati mwafaka serikali zitakaa na kuamua vipi zigawane madaraka. Inaonekana una msimamo wako kuhusu Jussa na umepata nafasi ya kumpiga madongo.
Alichosema Jussa ni kuwa "kesi iko mahakamani, hapaswi kuizungmzia" lol.
Amekuwa akipiga domo daima dumu na kutukana waTanganyika walioko Visiwani na hata walioko Tanganyika.
Kwa upande wangu sina sababu yoyote ya kutompiga madongo kwa msimamo wake huo.
Suala la kuumbuliwa na Jaji Warioba nafikiri si kwa bahati mbaya, kwa kufanya hivyo amuonyesha ulimwengu alivyo debe tupu lisilo acha kutika.
Mshaurini huyo Jussa ,a sijifiche nyuma ya pazia la "kesi iko mahakamani", wakati wa mbichi na mbovu ni sehemu kama lipoitiwa, Tume ya mabadiliko ya katiba.
Suala aliloulizwa lilikuwa simple, aeleze au atoe mifano ya mikataba ya muungano anayoitetea, akashindwa kufanya hivyo.
Ni dhahiri kuwa licha ya maneno mengi , uelewa wa sheria ni kiduchu, na hata research hajafanya kwa kitu anachokitaka kisheria.
Kwenye sehemu za wasomi huyu jamaa mshaurini asikimbilie kiti cha mbele, asije umbuka bure kama hivi sasa.