ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
hoja zilikuwa imara sana, sema kitendo cha mihimili kuingiliana kinasababisha mhimili mmoja kuwa ndo kichwa na wengine mikia tu wanalazimika kufuata maamuzi ya mhimili mkuu.
Jaji anateuliwa na rais, hivyo anaweza kufanya lolote ili mradi alinde heshima ya bosi wake. Kwenye katiba ijayo, mihimili hii ienganishwe, na mtu kuwa jaji asiteuliwe, ikiwezekana apigiwe kura ili awajibike kwa wananchi.
au uundwe mfumo maalum wa namna ya kuwapata majaji na sio kuteuliwa na rais, kwani hawawi huru kabisa