Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Jaji Mkuu Augustine Ramadhani kama kiongozi mkuu wa mhimili wa serikali, MAHAKAMA, pamoja na wenzake wamefanyakosa la wazi(sijui walikuwa wanajua au hawajui) la kuuwa mhimili huu pale walipotoa hukumu yao juu kesi iliyokwisha amuliwa awali na Mahakama Kuu ya mgombea binafsi.
Kutokana na Bunge kuanza kuleta heshima yake taratibu hasa katika awamu hii ya Mh. Sitta, na baada ya ya Jaji mkuu kutoa maelezo namna alivyoweza kukwepa kutumia bilioni ya shilingi kwa kuikarabati nyumba ya Jaji Mkuu, sasa ndio ulikuwa wakati muafaka wa kufunga goli la penati na kuutangazia umma nguvu ya mhimili huu katika Tanzania. Lakini ikawa tofauti, wakaipoteza fursa muhimu (wamepiga pembeni ya goli taratibu na kupiga kelele kipa gusa ili iwe kona; hatimae imekuwa kona). Fursa itakayoigharimu si nchi tu bali na mahakama yenyewe.Wamejimaliza.
Tusije sikia tena mtu wa mahakama ansema serikali inawaingilia kazi za ilihali wao ni sehemu ya CCM waliopanga mkakati wa kuiangamiza haki ya wananchi na kuidhohofisha taaluma ya sheria.
Majaji sita wameiua Mahakama katika enzi zetu mbele ya macho yetu, na kuutupa mzigo kwa Bunge lililokwisha timiza wajibu wake awali japo unadosari. Wameshindwa kutafsiri sheria, wakakubali kupindisha sheria, wakaamua kuuwa mhimili for the sake of politikisi....lol
Wanasheria mtaibukia wapi kuonyesha mhimili wenu/wetu huu wa Mahakama una nguvu?
Kutokana na Bunge kuanza kuleta heshima yake taratibu hasa katika awamu hii ya Mh. Sitta, na baada ya ya Jaji mkuu kutoa maelezo namna alivyoweza kukwepa kutumia bilioni ya shilingi kwa kuikarabati nyumba ya Jaji Mkuu, sasa ndio ulikuwa wakati muafaka wa kufunga goli la penati na kuutangazia umma nguvu ya mhimili huu katika Tanzania. Lakini ikawa tofauti, wakaipoteza fursa muhimu (wamepiga pembeni ya goli taratibu na kupiga kelele kipa gusa ili iwe kona; hatimae imekuwa kona). Fursa itakayoigharimu si nchi tu bali na mahakama yenyewe.Wamejimaliza.
Tusije sikia tena mtu wa mahakama ansema serikali inawaingilia kazi za ilihali wao ni sehemu ya CCM waliopanga mkakati wa kuiangamiza haki ya wananchi na kuidhohofisha taaluma ya sheria.
Majaji sita wameiua Mahakama katika enzi zetu mbele ya macho yetu, na kuutupa mzigo kwa Bunge lililokwisha timiza wajibu wake awali japo unadosari. Wameshindwa kutafsiri sheria, wakakubali kupindisha sheria, wakaamua kuuwa mhimili for the sake of politikisi....lol
Wanasheria mtaibukia wapi kuonyesha mhimili wenu/wetu huu wa Mahakama una nguvu?