JAJI MKUU atua Arusha kwa Lema

Wanajamvi,

Kama ulibahatika kusikiliza hotuba ya Mhe Tundu Lissu mjengoni ungebaini jambo moja muhimu sana kwamba kama taifa tumechezea karibu kila eneo bahati mbaya hata sekta ya sheria nayo haikuachwa nyuma wapo majaji kibao ambao hawana sifa wala uwezo wa kushika wadhifa wa ujaji.Jaji aliyeamua kesi ya Lema anaangukia kundi la majaji wabovu wasiostahili kuendelea na utumishi wa mahakama.

Ni matumani yangi katiba mpya italiangazia suala la majaji kuteuliwa na Rais na badala yake majaji wafuate utarabu wa kuomba kazi kama inavyofanyika Kenya.
 
Kama wamepelekewa written submissions hakukuwa na haja ya kupoteza hela za walipa kodi kuwasafirisha na kuwatunza majaji ugenini Arusha. Wangetoa ruling yao from submitted briefs huko huko walikotokea.
 
Mkuu Ngonga;
Umesema vyema,Kwanza kuhusu hotuba ya Mhe.Lissu pamoja na tambo za Lukuvi na Matusi ya Werema bado imekuwa msaada mkubwa sana kwenye hatima ya haki za watu.

Pili kuhusu Katiba mpya na Hatima ya kuteuliwa kwa Majaji bado naendelea kuwa muumini wa wazo lako (Kimsingi wazo la wanaharakati wengi) ila kuna tatizo la msingi ambalo ni KUTOKUPATIKANA KWA KATIBA MPYA HAPO 2015.

Kwa hii Tabia ya Serikali kuyafumbia macho matatizo makubwa kama Suala la Muungano basi bado kupatikana kwa katiba mpya (Kupitishwa kwa standard iliyowekwa na sheria) itakuwa ndoto. Tumuombe Mungu sana huku tuendako ni kubaya kuliko tunavyoweza kufikiri.
 
Sasa mwehu ni nani kati yako na Kamanda Lema? Hujui ni jinsi gani alivyoyapangua magamba hadi basi. Ombeni arudishwe la sivyo atawalimaza.
 
Kama wamepelekewa written submissions hakukuwa na haja ya kupoteza hela za walipa kodi kuwasafirisha na kuwatunza majaji ugenini Arusha. Wangetoa ruling yao from submitted briefs huko huko walikotokea.

Mkuu hilo ni suala la Jurisdiction.. Soma CPA (CAP 184-185) na Magistarates Courts Act (CAP 11 R.E. 2002)
 
Arusha ilikuwa shwari baada ya huyu mwehu kupigwa chini,sala zetu zote ni kuhakikisha hoja zake zote zinatupiliwa mbali ili amani ya bwana iendelee kudumu.. Ameeeeeeeeen!!!
unatafuta cheap popularity hamu JF au siyo? aidha una nufaika na mfumo wa utawala wa magamba, nakupa pole
 
Sitaki Lema ashinde kabla hajaja kwetu, Jamani jaji subiri kidogo maana tumemwanadalia mapokezi makubwa ambayo hayatajibiwa hivi karibuni. Na 2015 aje agombee huku kwetu ili awe na majimbo mawili.
 
Mkuu hilo ni suala la Jurisdiction.. Soma CPA (CAP 184-185) na Magistarates Courts Act (CAP 11 R.E. 2002)
Jurisdiction ipi? Ni suala la jurisdiction kivipi? Hebu itaje hiyo jurisdiction halafu useme mahakama yake iko wapi.

Hivi Arusha kuna Mahakama ya Rufaa? Manake kama ipo inabidi kuwe na jaji wake huko huko! Na kama hakuna sasa huyu Jaji Mkuu anaenda kusikiliza kesi kwenye mahakama gani, ya kata au chini ya mwembe? This is a mindless arrangement! What do you mean ni suala la jurisdiction, jurisdiction ipi?

Mfumo unaomsafirisha jaji kuifata kesi kwa gharama na hasara kwa walipa kodi ni mbovu, usinipe sheria, huo mfumo mzima wa sheria hizo ndio nasema mbovu! Halafu wanasheria wa kibongo ni wepesi mno, ungekuwa makini ungesema hiyo sheria in a nutshel inasemaje kuhusu hoja yako, sio kunambia kasome chapter 84 to 85! Inasemaje?
 

sana sana arusha, watu wa arusha ni wa kuhurumia sana, shughuli za kiuchumi arusha zimepungua mno kiasi cha kwamba mji ukifika saa 10 jioni ni mweupeee hauna watu tofauti na zamani. Watu wa arusha wameathirika sana sana na vurugu za lema za kisiasa.
Wewe ni zero kabisa sasa huo genius uutoe wapi wakati akili yako imejaa matope?
 
Karibu Sombetini Mkuu ukapate walau loshoroo na ukafurahie usafiri wa vi-fodi kwenda Burka na Mabatini kwanza kabla ya kupanda mahakamani na mafaili yote hayo.

Hapa risala iwe ni haki tu na wala si matakwa ya vikundi fulani kule CCM.
 
Jaji kachaguliwa na Rais na huyo Rais katokea Chama Cha Majangiri a.k.a CCM, na huyo aliekata rufaa ni mpinzani...Je! haki itapatikanwa hapo?......mna Bosi wa jaji ni Kikwete sasa atatetea Chama Cha Majangiri au atafanya vile haki inavyotakiwa??? ukweli hapa Tanzania hakuna haki kwa mpinzani wala masikini.....CCM OYeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
hawatapindisha sheria,lema atashinda,hii yote ni kwasababu wanaogopa kushindwa uchaguzi mdogo mara ya pili mfululizo na zaidi wameogopa harakati za lema nje ya bunge na lengo la kumuingiza jaji mkuu ni kujisafisha,kuonesha jaji wa kwanza aliteleza mahakama ipo fair. Na kwa taarifa za watu wa karibu na lema ni kuwa hata akirudi bungeni ataendeleza "twanga kotekote",bunge likisimama anaingia vijijini. LEMA NI JANGA LA KITAIFA kwa MAGAMBA
 
Zombe hakuuwa Fact, pelekeni aliyeuwa amuhukumu.

Lema hajatukana mtu fact ndio maana Batilda Burhan hakushtaki wala hakutowa ushahidi.

Lema anarudishiwa Ubunge wake hili halina mjadala, na chombezo la Tundu Lisu kuhusu Majaji fake litachangia zaidi kutenda haki. hawa ni Learned Brothers, huwa hawapendi wastaafu huku wakiwa hawana credibility yoyote.
naungana na pointi zako ambazo kwangu mimi naziita dua,ninamaana nimeifunga imani yangu katika maneno na hekima yako.
 
Jaji kachaguliwa na Rais na huyo Rais katokea Chama Cha Majangiri a.k.a CCM, na huyo aliekata rufaa ni mpinzani...Je! haki itapatikanwa hapo?......mna Bosi wa jaji ni Kikwete sasa atatetea Chama Cha Majangiri au atafanya vile haki inavyotakiwa??? ukweli hapa Tanzania hakuna haki kwa mpinzani wala masikini.....CCM OYeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
umeoverlook mkuu..mbona mbunge wa sumbawanga mjin alipigwa chini wakat ni ccm....na kafum je....
 
Acha kukata tamaa na kukatisha tamaa watu wengine, mahakama hiyo hiyo na majaji haohao ndiyo waliotengua ushindi wa CCM majimbo ya Igunga na Sumbawanga kufuatia kesi zilizofunguliwa na wana CDM wenzio. Sasa hapo unatumia logic gani kuwahukumu majai wa rufaa kuwa hawatatenda haki kwenye kesi hii?
kiukweli anakosea kuwahukumu,lakini kwa jinsi tz ilivyo hapaswi pia kuweka imani yake moja kwa moja.
 

sana sana arusha, watu wa arusha ni wa kuhurumia sana, shughuli za kiuchumi arusha zimepungua mno kiasi cha kwamba mji ukifika saa 10 jioni ni mweupeee hauna watu tofauti na zamani. Watu wa arusha wameathirika sana sana na vurugu za lema za kisiasa.

Wala sitashangaa ukisema hata UN-ICTR is now closing down because of Lema. Mbumbumbu kama nyie wapo wengi mkuu, hasa kwenye chama kinachoongozwa na kichwa cha nazi!
Ila hawa waungwana watatu sidhani kama watakuwa tayari kuudhalilisha utu wao kama mwenzao aliyeamua kuuza utu wake!

 
Mkuu Ngonga;
Umesema vyema,Kwanza kuhusu hotuba ya Mhe.Lissu pamoja na tambo za Lukuvi na Matusi ya Werema bado imekuwa msaada mkubwa sana kwenye hatima ya haki za watu.

Pili kuhusu Katiba mpya na Hatima ya kuteuliwa kwa Majaji bado naendelea kuwa muumini wa wazo lako (Kimsingi wazo la wanaharakati wengi) ila kuna tatizo la msingi ambalo ni KUTOKUPATIKANA KWA KATIBA MPYA HAPO 2015.

Kwa hii Tabia ya Serikali kuyafumbia macho matatizo makubwa kama Suala la Muungano basi bado kupatikana kwa katiba mpya (Kupitishwa kwa standard iliyowekwa na sheria) itakuwa ndoto. Tumuombe Mungu sana huku tuendako ni kubaya kuliko tunavyoweza kufikiri.
kaka wenye akili fupi hawalioni shimo ambalo tunaenda kuangukia watanzania,kwa mtu anayetumia fikra za ndani sana ataiona jinsi tanzania inavyozama gizani.
 
nimepatwa na wasi wasi.........

..usijari majaji wote hao hakuna aliyewahi kuharibu mifano hii hapa..chini

Nina imani sana na Jaji Massati ni jaji asiyeyumbishwa ( mgombea binafsi) pia Chande, hawa ni majembe 90%, wana wa Arusha anzeni kushangilia ushindi, ila M4C itayumba...dah!

Mhe.Jaji Kimario alikuwa mmoja wa majaji watatu walioamua rufaa yangu pia. Hili ni jopo lisiloyumbishwa. Huwa linapenda kufanya kazi kwa standard ya kuweka Case study nzuri kwa ajili ya mifano siku zijazo.. Nawaamini.
 
Back
Top Bottom